• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Huu sio wakati wa kulalamikia masuala ya Kitaifa-Chalamila

Imewekwa tarehe: July 3rd, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Albert Chalamila amewataka Wakurugenzi kuacha kulalamika na kuilaumu Serikali kuwa imewanyang’anya mapato na badala yake wajikite katika kuibua vyanzo vipya vya mapato ili kuinua uchumi wa halmashauri.

Hayo ameyasema jana alipokuwa akihutubia katika baraza la Madiwani la kujadili hoja za Mkaguzi mkuu wa Serikali (CAG) za mwaka wa fedha 2017/2018 lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa  halmashauri ya Wilaya ya Busokelo.

Mhe. Chalamila amesema kuwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametoa vitambulisho vya wajasiriamali ili kuwapunguzia kero za ushuru mbalimbali lakini wataalamu wanatakiwa kukaa chini na kubuni vyanzo vipya ambavyo havina makelele.

“Kuna baadhi ya Wakurugenzi ambao waliingia kwenye dimbwi la kulalamika..kwamba amenyang’anya mapato ya halmashauri yetu, nadhani huu si wakati wa kulalamikia masuala ya Kitaifa”. Alisema Mhe. Chalamila

Mhe. Chalamila aliongeza kuwa, jambo la muhimu ni kukusanya takwimu zaidi ili makadirio ya mapato yaendane na kinachokusanywa kwani inapoonekana kunakuwa na mpishano mkubwa basi ijulikane kuwa wataalamu hawakufanya kazi ya kutosha.

Mkutano huo umefanyika ikiwa ni sehemu kutoa majibu ya hoja za mkaguzi Mkuu wa Serikali za mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo imepata hati inayoridhisha ikiwa ni mwaka wa nne mfululizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI BUSOKELODC December 02, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 December 15, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 18, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA BUSOKELO December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA BALAZA JIPYA LA MADIWANI

    December 16, 2020
  • Huu sio wakati wa kulalamikia masuala ya Kitaifa-Chalamila

    July 03, 2019
  • DC Rungwe awataka vijana kujitambua

    June 08, 2019
  • Umakini unatakiwa katika kusimamia miradi-Chalya

    June 08, 2019
  • Angalia zote

Video

Uzinduzi wa gulio soko la Kisegese
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.