• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UNICEF yatoa mafunzo kwa walimu Busokelo

Imewekwa tarehe: May 5th, 2019

Mafunzo haya yametolewa kwa Walimu 41 wa shule za msingi, ambapo program hii inahusisha uundaji wa klabu za TUSEME na kufundisha Stadi za maisha kwa wanafunzi wa shule za msingi. Mafunzo haya yamefanyika kwa siku tatu mfululizo na kumalizika leo, katika katika ukumbi wa kituo cha kilimo kilichopo kandete.

Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo walimu ili kuitambua vyema program ya TUSEME, kuwezesha uundaji wa klabu na stadi za maisha. Pia kuwezesha walimu kutambua umuhimu wa ufundishaji unaozingatia jinsia (jicho la jinsia) na kuwawezesha walimu kutambua aina za ukatili katika maeneo yao (mashuleni).

Programu hii ya TUSEME inafadhiliwa na shirika la kimataifa linaloshughulika na watoto la UNICEF ambapo kwa sasa inatekekelezwa katika mikoa ya Mbeya, Songwe, Iringa na Njombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI BUSOKELODC December 02, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 December 15, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 18, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA BUSOKELO December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA BALAZA JIPYA LA MADIWANI

    December 16, 2020
  • Huu sio wakati wa kulalamikia masuala ya Kitaifa-Chalamila

    July 03, 2019
  • DC Rungwe awataka vijana kujitambua

    June 08, 2019
  • Umakini unatakiwa katika kusimamia miradi-Chalya

    June 08, 2019
  • Angalia zote

Video

Uzinduzi wa gulio soko la Kisegese
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.