• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

  1. Majukumu ya Jumla ya Idara
  • Kuandaa mipango na bajeti ya mradi mbalimbali ya maendeleo ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika.
  • Kuratibu , Kutathimini na kufuatilia shughuli za huduma za ugani Wilayani
  • Kusimamia ujenzi na ukarabati wa miundombinu mbalimbali ya kilimo, Wilayani
  • Kuwajengea uwezo wakulima juu ya uzalishaji wa tija, usimamiazi na uendeshaji wa miradi ya maendeleo.
  • Kuongeza uzalishaji na tija kutokana na matumizi ya teknolojia bora zilizopatikana
  • Kuhamasisha matumizi ya zana bora za kilimo zilizotokana na utafiti
  • Kuzalisha aina za mbegu za daraja la kuazimiwa zenye mavuno mengi na bora ambazo pia zinastahimili ukame na visumbufu vya mimea na mazao
  • Kushirikiana na wadau mbalimbali wanaojihusisha na maendeleo ya sekta ya kilimo
  • Kuandaa taarifa na takwimu mbalimbali za maendeleo ya kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
  • Kuhimiza na kuhamasisha uanzishaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika vyenye nguvu za kiuchumi na endelevu.
  • Kuhimiza na kuwezesha mabadiliko katika mfuko wa vyama Ushirika vya Akiba na Mikopo na Benki za Ushirika ili vyombo hivyo viweze kuwahudumia wanachama kikamilifu

B. Kitengo cha Kilimo

  • Sehemu ya Mazao
  • Sehemu ya mazao ya chakula inasumamiwa na kuratibiwa na Afisa mazao (Crop –SMS)
  • Sehemu ya mazao ya biashara inasimamiwa na kuratibiwa na Afisa mazo ya biashara (Cash crop –SMS)
  • Sehemu ya mazao ya bustani (horticultural crop) inasimaiwa na kuratibiwa na Afisa mazao ya bustani (Horticulture SMS)

Shughuli kuu za sehemu hizi ni pamoja na 

  • Kuandaa mpango na bajeti ya kilimo ya Wilaya
  • Kandaa na kufuatilia utekelezaji wa malengo ya kilimo
  • Kuainisha maenneo yanayofaa kwa kilimo pamoja na fursa za uwekezaji katika sekta ya kilimo zilizopo katika Wilaya hususani usindikaji , uzalishaji, kujenga uwezao wadau wa kilimo.
  • Kufanya tathimini ya hali ya chakula katika Wilaya
  • Kutoa elimu ya kilimo bora kwa wakulima
  • Kufanya uchunguzi wa awali wa kutabiri na kutoa tahadhari ya kutokea kwa wadudu waharibifu magonjwa ya mimea ya milipuko
  • Kuandaa na kuratibu mahitaji na upatikanaji wa zana za pembejeo za kilimo
  • Kuunganisha wakulima na wadau mbalimbali wa maendeleo ya sekta ya kilimo
  • Kusimamia matumizi na hifadhi ya ardhi /udongo
  • Kusimamia na kuratibu matumizi bora ya zana mbalimbali za kilimo
  • Kusimamia mafunzo ya wakulima katika kilimo bora na chenye tija
  • Kusimamia ukusanyaji na thathimini ya takwimu za kilimo
  • Kutengenea progaramme za kuthibiti visumbufu vya mimea na kuasambaza techinologia za uthibiti wa visumbufu vya mimea
  • Kusimamia jukwaa la wadau wakilimo na kuwanganisha pamoaja
  • Kusimamia sera na sheria mbalimbali zinasimamia kilimo katika ngazi ya wilaya
  •  

C. Kitengo cha Umwagiliaji

  • Majukumu ya Sehemu ya Umwagiliaji
  • Kuanisha maeneo yanayofaa kwa mkilimo cha umwagiliaji pamoja na fursa za kilimo cha umwagiliaji zilizopo katika Wilaya
  • Kusimamia kamati na vyama vya watumia maji katika skimu za umwagiliaji
  • Kutoa elimu ya matumizi endelevu ya rasilimali maji katika kilimo
  • Kusimamia utekelezaji wa BRN sekta ya kilimo)
  • Kuandaa program za umwagiliaji za asili
  • Kusimamia usafi na ukarabati wa skimu za umwagiliaji
  • Kuainisha maenneo yanayofaa kwa kuanzisha miradi ya umwagiliaji
  • Kuandaa program ya kufundisha wakulima juu ya kutunza miradi ya umwagiliaji
  • Kuandaa ratiba ya kazi ya ujenzi wa miradi ya umwagiliaji kwa kusaidiana na wahandisi na kutayarisha taarifa ya kazi
  • Kuandaa program za kuboresha miradi ya kilimo cha umwagiliaji wa asili (TIP)
  • Kukusanya na kutunza takwimu mbalimbali za kilimo cha umwagiliaji
  • Kwakushirikiana na IOs kuhakikisha kwamba wanaumoja wa skimu wanatekeleza wajibu wao ikiwa ni pamoja na matumizi bora ya maji , usafi wa miundombinu na ukusanyaji wa michango mbalimbali katika skimu
  • Kuandaa taarifa za kitengo za mwezi ,robo mwaka , nusu mwaka na mwaka

D. KITENGO CHA USHIRIKA :

  • MAJUKUMU YA SEHEMU YA USHIRIKA 
  • Kutoa elimu ya uhanasishaji kwa wananchi kwa lengo la kuanzisha vyama vya ushirika katika maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya.
  • Kufanya ukaguzi kwa vyama vyote vya ushirika kwa lengo la kuhakiki
  • Utunzaji wa kumbukumbu , Usahihi katika uandishi wa vitabu vya fedha ,Utunzaji wa fedha , Ongezeko la wanachama , Mawekezo ya wanachama ,Wadai nna wadaiwa na Vikao na mikutano ya chama kama inafanyika n.k
  • Kuwajengea uwezo viongozi wa Bodi za vyama vyote vya ushirika yaani (SACCOS,AMCOS, na vyama vingine kwa lengo la kuongeza umahiri katika utendaji wao wa kazi.
  • Kupitia makisio ya mapato na matumizi ya vyama vya ushirika na kuwasilisha kwa Mrajis Msaidizi wa vyama vya ushirika (M) kwa lengo la kupitisha makisio hayo ili kuepusha chama kutumia fedha nje ya mapango ulio kusudiwa
  • Kusimamia chaguzi za viongozi wa vyama vya ushirika
  • Kuandaa taarifa (takwimu) za kila robo mwaka za vyama vya ushirika katika Wilaya na kuziwasilisha kwa Mrajis Msaidizi wa vyama vya ushirika (M)
  • Kuhakiki uhalali wa vyama vya ushirika kuweza kukopesheka na taasisis mbalimbali za kifedha
  • Kuratibu mchakato wa vyama vya ushirika katika kupata fursa za pembejeo za kilimo kama vile mbolea na madawa .

Sehemu ya Ugani

  • Majukumu ya Sehemu ya Ugani (DAEO)
  • Kumsaidia Afisa Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika katika kubuni mbinu mpya za utoaji huduma za ugani , ufuatiliaji , uhimizaji na kutoa miongozo ya utekelezaji wa utoaji wa hudhuma bora za ugani kwa Maafisa Ugani wa Vijiji/Kata
  • Kutengeneza mahusiano mazuri ya vikundi vya wakulima vya zamani na vipya na mitandao ya wakulima pamoja na taasisi zisizo za kiserikali zinazojihusisha na shughuli za kilimo (uzalishaji ,usindikaji na ununuzi na uuzaji)wafanyabiashara binafsi na kuhimiza maendeleo yao
  • Kutoa mwaongozo na kusimamia ukusanyaji wa takwimu na taarifa muhimu za ugani na kuzitafsiri
  • Kupanga na kushiriki katika uhamasishaji mafunzo na upangaji wa Maafisa ugani katika Halmashauri , na pia kupanga kuongoza na kufanya tathimini ya mafunzo kwa maafisa Ugani, wakulima na shughuli za ugani kwa ujumla
  • Ikiwa ni sehemu ya kiungo ya utafiti na ugani kutatenga na kudumisha mahusiano ya tija za ZARDIs kupitia ZIELU kkwa kuwa na mpango madhubuti wa mikutani ya kujadili maendeleo ya vishamba vya wakulima na mitandao ya wakulima
  • Kuhakikisha upatikanaji wa taarifa muhimu zinazo husiana na kilimo zinaapatikana katika vituo vya rasilimali vya kata (WARCs) kama vile vipeperushi , mihitasari ya matokeo ya tafiti mmbalimbali , taarrifa za masoko n.k
  • Kuwaongoza na kuwasaidia wataalamu kutoka nje ya Halmashauri inapo bodi wanao kuja kusaidi a kuendeleza shughuli za ugani klama utoaji elimu ya ugani , elimu ya akiba na mikopo kwa vikundi vya wakulima n.k
  • Kuhakikisha kuwa kila Afisa Ugani ana mashamba darasa yasiyopungua 8 kwa msimu ikiwa ni nyezo ya kufikia wakulima katika huduma za ugani
  • Kusimamaia maafisa ugani kuendesha vishamba vya majaribio , vishamba vya mfano , mashamba darasa na bustani mama za mazao hususan Kahawa, migomba n.k
  • Kusimamia matumizi ya rasilimali zinazotolewa kwa ajili ya makusudi ya kusukuma shughuli za ugani .
  • Kuandaa taarifa za shughuli za ugani za robo mwaka , nusu mwaka na mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.