• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Maendeleo na Ustawi wa Jamii

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni miongoni mwa Idara 13 za Halmashauri ya wilaya ya Busokelo.

Idara imekuwa ikifanya kazi za jamii kwa kushirikiana na Idara zingine ili kufikia malengo yake, Idara ya maendeleo ya jamii imeundwa na vitengo TANO(5) ambavyo ni:-

1. Dawati la Jinsia na Watoto

  • Kutoa elimu ya Uraia mwema, uwajibikaji , Elimu ya Idadi ya watu na maisha ya familia
  • Kutoa elimu kwa jamii kuhusiana na sera ya maendeleo ya jamii , sera ya maendeleo ya wanawake na sera ya maendeleo ya watoto
  • Kutoa elimu ya ujasiriamali na kuhamasisha wanajamii hususani wanawake na vijana kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali
  • Kuratibu utoaji mikopo kwa Wanawake na Vijana
  • Kutoa elimu kwa jamii dhidi ya ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto na kuanzisha timu ngazi za vijiji na kata itayosimamia maswala ya ukatili wa watoto na wanawake

2. Vijana

3.Utafiti na mipango

  • Uibuaji na upangaji mipango ya vijiji/Kata kwa mfumo wa fursa na vikwazo kwa maendeleo(O&OD)
  • Kutoa mafunzo ya Utawala Bora na utunzaji wa kumbukumbu kwa viongozi / serikali za vijiji na taasisi katika Halmashauri
  • Uhamasishaji jamii kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo ya jamii na ushiriki katika kusimamia na kutekeleza miradi iliyopo katika maeneo yao.
  • Kuunganisha nguvu za jamii na serikali ili kuondoa fikra tegemezi.na kujitegemea wenyewe.
  • Kukusanya, kutunza,kutafsiri na kusambaza takwimu na kumbukumbu mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya jamii.

4. Ustawi wa jamii

  • Huduma ya Ustawi wa familia na watoto, Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya watoto wadogo.
  • Mpango shirikishi jamii wa malezi ,makuzi, matunzo na ulinzi kwa yatima na watoto walio katika mazingira hatarishi.
  • Program ya stadi za malezi ya watoto walio katika mazingira hatarishi
  • Huduma na msaada wa kisaikolojia na kijamii (Psychosocial Care and Support)
  • Program ya maboresho ya sekta ya Sheria.

5. Uratibu wa mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI

Kitengo hiki kimejikita katika maeneo makuu manne:

  1. Mazingira Wezeshi
  • Kuweka mazingira mazuri ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, na kiutamaduni ya mwitikio wa kitaifa dhidi ya UKIMWI kwa misingi ya Haki za Binadamu, Usawa wa kijinsia, uwazi pamoja na uwajibikaji katika ngazi zote na ushiriki mkubwa wa jamii
  • Uwezeshaji watu wanaoishi na VVU/UKIMWI
  • Kuunda na kuimarisha kamati za kuthibiti UKIMWI ngazi zote za vijiji,kata na Wilaya ili waweze kutoa elimu kwa jamii na kuwalinda na maambukizi ya VVU/UKIMWI
  • Kupiga vita unyanyapaa kwa wanaoishi na VVU/UKIMWI
  1. Kinga
  • Kuhamasisha matumizi sahihi ya kondomu na kusambaza kwa jamii
  • Kuhamasisha Unasihi na Upimaji wa hiari wa VVU(VCT)
  • Kutoa semina kwa jamii kuhusu maambukizi ya UKIMWI kupitia mikutano ya hadhara.
  • Kuhamasisha wajawazito kuhudhuria klinik mapema na kupata elimu ya kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT)
  • Elimu ya stadi za maisha , VVU na UKIMWI kwenye makundi yaliyo katika hatari zaidi ya vijana ndani nan je ya shule na wanawake (MARPS)
  • Elimu ya VVU na UKIMWI kwa njia ya sinema na matamasha na usambazaji wa vipeperushi na majarida kwa jamii
  • Kutoa elimu ya UKIMWI mahali pa kazi

Vitengo vyote hivi kwa pamoja vinafanya kazi ya kuhakikisha jamii inajikwamua na umasikini, kuleta maendeleo endelevu katika jamii na kuongeza mapambano ya kinga dhidi ya janga la VVU/UKIMWI ambao umekuwa tishio kwa jamii nzima.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.