• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Busokelo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Adminstration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Adminstration and Human Resource
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Health
      • Water
      • Sanitation and Environment
      • Agriculture, Irrigation and Cooperatives
      • Livestock and Fisheries
      • Development and Social Walfare
      • Land and Natural Resouces
      • Construction, Fire and Works
    • Units
      • Internal Audit
      • Bee Keeping
      • Election
      • Legal
      • Ict
      • Procurement and Supplies
  • Investment Oppotunities
    • Tourism
    • Agricultural
    • Livestock
    • Fishing
    • Bee Keeping
    • Industries
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Committee
      • Finance Planning and Adminstration
      • Economy Works and Environment
      • Education Health and Water
      • CMAC
      • Ethics committee
    • Schedules
      • Councilors schedule meetings
      • Chairperson schedule
  • Projects
    • Planned projects
    • On going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • Acts
    • Customer service contrct
    • Strategic plan
    • Reports
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

On going projects

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA ROBO YA NNE (APRILI – JUNI, 2018)   MWAKA WA FEDHA 2017/18

RUZUKU YA MIRADI YA MAENDELEO – LGCDG

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
IDARA YA UTAWALA
Kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la utawala makao makuu ya Halmashauri
Kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la utawala makao makuu ya Halmashauri
Jamvi la msingi wa jengo limeshawekwa bado kujenga nguzo
20

700,000,000.00

700,000,000.00
0
Mchakato wa kumpata Mkandarasi atakaeendelea na ujenzi unaendelea
JUMLA NDOGO
 
 
765,478,400.00
700,000,000.00
0
 
JUMLA–CDG
 
 
 
1,509,610,300.00
700,000,000.00
0
 
JUMLA CBG
 
 
 
89,956,700.00
0
0
 
JUMLA KUU CDG+CBG
 
 
 
1,599,567,000.00
700,000,000.00
 
 











PROGRAMU YA MAJI VIJIJINI – RWSSP

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYO KASIMIWA
FEDHA ILIYO TOLEWA
FEDHA ILIYO TUMIKA
MAONI
Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Kitema
Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Kitema
Upimaji na Usanifu umekamilika
10

82,877,550.00

0
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi ya kumpata Mkandarasi
Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Mpata
Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Mpata
Upimaji na Usanifu umekamilika
10

88,965,120.00

0
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi.
Kufanya Usanifu,ufuatiliaji na usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maji
Kufanya Usanifu,ufuatiliaji na usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maji
Kazi  ya Ukaguzi wa miradi  ya maji imefanyika
25

40,732,921.5

35,687,271.5
11,378,000.00
Kazi inaendelea
Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Kanyelele
Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Kanyelele
Upimaji na Usanifu umekamilika
4

128,852,680.00

0
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi
Ukarabati wa vituo vya kuchotea maji (DPs)na mtandao wa maji katika vijiji vya Lusungo- Vituo 4, Kandete vituo 3 na Mwela vituo 4
Ukarabati wa vituo vya kuchotea maji (DPs)na mtandao wa maji katika vijiji vya Lusungo- Vituo 4 na Kandete vituo 3 na Mwela vituo 4
Utekelezaji bado haujaanza
0

7,829,453.85

7,829,453.85
0
Kazi bado haijaanza
Kukarabati mtandao wa maji kijiji cha Mpunguti, Itebe, Luteba na  Kilasi
Kukarabati mtandao wa maji kijiji cha Mpunguti, Itebe, Luteba na  Kilasi
Utekelezaji bado haujaanza
0

38,215,084.65

38,215,084.65
0
Kazi bado haijaanza
Kujenga chanzo mradi wa Maji wa  Nswesi
Kujenga chanzo mradi wa Maji wa  Nswesi
Utekelezaji bado haujaanza
0

7,400,000.00

7,400,000.00
0
Kazi bado haijaanza
Kujenga mfumo wa kuhifadhi maji katika choo cha Soko la Ntangasale              
Kujenga mfumo wa kuhifadhi maji katika choo cha Soko la Ntangasale              
Utekelezaji bado haujaanza
0

1,450,000.00

1,450,000.00
0
Kazi bado haijaanza
JUMLA KUU
 
 
 
396,322,810.00
90,581,810.00
11,378,000.00
 

 

MFUKO WA  JIMBO    (CDCF)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Kuziwezesha kata kukamilisha miradi mbalimbali  kwa  fedha za mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo ifikapo Juni,2018.
Kuziwezesha kata kukamilisha miradi mbalimbali  kwa  fedha za mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo ifikapo Juni,2018.
Utekelezaji wa miradi katika ngazi ya vijiji na Kata umeshaanza.
50
40,137,000.00
40,137,000.00
40,137,000.00
Kazi zinaendelea.
JUMLA KUU
 
 
 
40,137,000.00
40,137,000.00
40,137,000.00
 


MIRADI YA EP4R (ELIMU MSINGI)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya Msingi Lukasi
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya Msingi Lukasi
Ujenzi upo hatua ya upauaji
60
8,064,324.33
8,064,324.33
0
Kazi inaendelea kwa nguvu za wananchi
Ukamilishaji wa chumba cha darasa kimoja katika shule ya Msingi Kasanga
Ukamilishaji wa chumba cha darasa kimoja katika shule ya Msingi Kasanga
Ujenzi umeanza upo katika hatua ya Msingi
10

20,000,000.00

20,000,000.00
0
Kazi inaendelea kwa nguvu za wananchi

JUMLA KUU
 
 

52,043,500.98

52,043,500.98
23,979,176.65

 

MIRADI YA EP4R (ELIMU SEKONDARI)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya sekondari Luteba
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya sekondari Luteba
Utekelzaji bado haujaanza .
0

7,494,406.44

7,494,406.44

0
Fedha zimeshapelekwa shule.
Ukamilishaji wa maabara za Fizikia katika shule za sekondari 8 za Luteba,Mbigili,Mzalendo,Ikapu,Selya,Kisegese,Mpata na Kyejo
Ukamilishaji wa maabara za Fizikia katika shule za sekondari 8 za Luteba,Mbigili,Mzalendo,Ikapu,Selya,Kisegese,Mpata na Kyejo
Utekelezaji bado haujaanza
0

26,765,737.29

26,765,737.29
0
Utaratibu wa kutafuta mafundi unaendelea.
 
 
JUMLA KUU
 

37,234,114.54

37,234,114.54
2,973,970.81
 


UJENZI WA VITUO VYA AFYA 

JINA LA MRADI

SHUGHULI ZILIZOPANGWA

UTEKELEZAJI

% YA UTEK.

FEDHA ILIYOKASIMIWA

FEDHA ILIYOTOLEWA

FEDHA ILIYOTUMIKA

MAONI

Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mpata
Ujenzi wa Jengo la Upasuaji, Maabara ,Wodi ya Wazazi,kuhifadhia maiti,  kutakasia nguo, nyumba ya mtumishi,Jengo la wagonjwa wa ndani (IPD)na Ujenzi wa Jengo la wagonjwa wa nje (OPD)
Majengo ya Upasuaji, Maabara, kuhifadhia maiti, jengo la kutakasia nguo na nyumba ya mtumishi yapo hatua ya kupigwa lipu.
Jengo la wodi ya Wazazi lipo hatua ya ukamilishaji wa boma.
Jengo la wagonjwa wa ndani(IPD) lipo hatua ya upauaji.
68

500,000,000.00

500,000,000.00

229,566,595.00
Kazi inaendelea vizuri.
Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Isange
Ujenzi wa Jengo la Upasuaji, Maabara,Wodi ya Wazazi, kuhifadhia maiti,  kutakasia nguo na Ujenzi wa jengo la mionzi (x-ray)
Ujenzi upo hatua ya msingi katika majengo yote.
10

500,000,000.00

500,000,000.00

0
Kazi inaendelea vizuri

JUMLA KUU


1,000,000,000.00

1,000,000,000.00

229,566,595.00

 

 

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILIYOVUKA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

RUZUKU YA MIRADI YA MAENDELEO – LGCDG

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOVUKA MWAKA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
IDARA YA UTAWALA
Kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la utawala makao makuu ya Halmashauri
Kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la utawala makao makuu ya Halmashauri
Janvi la msingi wa jengo limeshawekwa bado kujenga nguzo
20

316,684,804.00

316,684,804.00
285,364,357.00
Ujenzi umesimama lakini mchakato wa kumpata Mkandarasi mwingine ili aendelee na kazi unaendelea.
JUMLA MKUU
 
 
 

316,684,804.00

316,684,804.00
285,364,357.00
 

 

MRADI WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA (RWSSP)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZO PANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOVUKA MWAKA
FEDHA ILIYO
TOLEWA
FEDHA ILIYO
TUMIKA
MAONI
Kujenga mradi wa maji Kapyu
Kujenga mradi wa maji Kapyu
Upimaji na usanifu wa mradi umekamilika.
10
84,796,260.00
84,796,260.00
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi
Kujenga mradi wa maji Kilimansanga
Kujenga mradi wa maji Kilimansanga
Upimaji na usanifu wa mradi umekamilika.
10
80,000,000.00
80,000,000.00
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi
Kukarabati mradi wa maji Kasyabone
Kukarabati mradi wa maji Kasyabone
Vifaa kwa ajili ya ukarabati wa chanzo cha Maji cha Kasyabone vimeshanunuliwa.
0
10,047,825.00
1,987,825.00
0
Kazi bado haijaanza inategemewa kuanza katika mwezi Julai.
Kukarabati mradi wa maji Mbambo
Kukarabati mradi wa maji Mbambo
Kazi ya kufunga mabomba kutoka kwenye chanzo kuelekea kwenye Tenki imekamilika. Ujenzi wa uzio, vituo sita vya nyongeza vya maji, ukarabati wa chanzo na tenki utekelezaji wake uko hatua ya ununuzi wa vifaa.
48
16,328,480.00
16,328,480.00
6,592,000.00
Kazi inaendelea
Kusimamia miradi ya maji
Kusimamia miradi ya maji
Ufuatiliaji na usimamizi wa Miradi ya Maji unaendelea
75
19,101,655.09
26,291,655.09
26,291,655.09
Kazi inaendelea
Ukarabati wa vituo vya kuchotea  maji
Ukarabati wa vituo 4 vya kuchotea  maji Kandete  na kukarabati mfumo wa maji wa Ofisi kuu ya Halmashauri ya Wilaya
Maandalizi ya kuanza ukarabati wa miradi unaendelea
0
3,035,240.00
3,035,240.00
0
Utekelezaji utafanyika robo y kwanza 2018/2019
JUMLA 
 
315,794,774.25
314,924,774.25

101,816,155.09

 

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • View All

Latest News

  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • WADAU WA VYAMA VYA SIASA BUSOKELO KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    December 21, 2024
  • View All

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
More Videos

Quick Links

  • Watumishi Portal
  • Salary slip
  • Councilors list
  • Gallery

Related Links

  • President's Office, Public Service Management
  • TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • President's Officia Website
  • Mbeya Regional Website
  • Public Service Recruitment Secretariet

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Lwangwa, Tukuyu

    Postal Address: S. L. P. 2, Tukuyu

    Telephone: +255 737 205 318

    Mobile:

    Email: ded@busokelodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 Busokelo DC . All rights reserved.