• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Fedha na Biashara

Majukumu ya Idara ya Fedha na Biashara;

  • Inatoa ushauri wa mambo yote yanayohusu fedha;
  • Idara ya Fedha inashirikiana na Idara ya Mipango kuandaa makisio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha;
  • Kusimamia na kudhibiti mfumo wa kifedha na kutunza nyaraka na kumbukumbu za fedha;
  • Idara ya Fedha inaandaa taarifa zote za fedha zinazohusu mapato na matumizi ukilinganisha na bajeti na kutoa ushauri wa mapato na matumizi kutokana na taarifa hizo;
  • Kuandaa mezania ya hesabu za mwaka wa fedha husika na taarifa zingine za fedha zinazohitajika kwa Waheshimiwa Madiwani;
  • Kuhakikisha mfumo wa ndani wa ki-hasibu (Internal Control) unafanya kazi, kusimamia sheria, kanuni na taratibu zote za fedha;
  • Kusimamia na kutunza mali za Halmashauri na mifumo ya kielektroniki ya mapato na matumizi (EPICOR).

Kitengo cha Biashara:

  • Kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu za sekta za Viwanda, Biashara na Masoko katika Mamlaka za Serikali za Mitaa;
  • Kutoa elimu ya ujasiriamali kwa wafanyabiashara wadogo walioko katika sekta binafsi katika eneo lililo chini ya mamlaka ya serikali za mitaa.
  • Kupokea, kuchambua na kuunganisha taarifa za uzalishaji katika sekta ya Viwanda, Biashara na Masoko na kutoa taarifa OWM-TAMISEMI, Wizara ya Viwanda na Biashara na kwenye Sekretarieti za Mikoa na kushauri ipasavyo;
  • Kushauri na kuratibu shughuli za usajili wa shughuli za biashara katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (Business Activities Registration) kwa mujibu wa sheria;
  • Kupendekeza namna ya kuboresha mazingira wezeshi ya biashara kwa madhumuni ya kurahisisha taratibu za kuanzisha biashara nchini na kushauri namna ya kuikuza Sekta Binafsi kwa lengo la kuifanya ya ushindani;
  • Kuwasiliana na Wizara/Taasisi na Mashirika yanayosimamia sheria/kanuni za kufanya biashara ili kupata takwimu kwa ajili ya kutathimini mwenendo wa biashara;
  • Kutoa ushauri juu ya mifumo ya kuwakinga wakulima na madhara ya mabadiliko ya bei (community price risk management) kama vile mfumo wa Stakabadhi Ghalani na kuhakikisha unapanuliwa kwa mazao yanayozalishwa na wakulima katika Wilaya na kuinua kipato cha wakulima;
  • Kuratibu maendeleo ya biashara ndogo, kati, kubwa na sekta isiyo rasmi na kutoa taarifa OWM-TAMISEMI, na Wizara ya Viwanda na Biashara na uwekezaji.
  • Kutoa mapendekezo ya kuboresha Sera za sekta za Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na kuratibu mikutano ya kisekta kwa kushirikiana na wizara OWM-TAMISEMI or Mkoa.
  • Kutoa ushauri ya dhana ya wilaya moja zao moja (one village one product concept) kulingana na fursa zilizopo kwa kuzingatia ushindani wa soko (comperative and competitive advantage katika mamlaka za serikali za mitaa.
  • Kutathimini mwenendo wa biashara kwa kuangalia hali ya masoko ya ndani na nje ya nchi na kuandaa chati ya kuonyesha hali ya biashara kwa kipindi cha robo, nusu na mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • WADAU WA VYAMA VYA SIASA BUSOKELO KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    December 21, 2024
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.