• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ardhi na Maliasili

Majukumu ya Idara ya Ardhi na Mawasiliano.

  • Kuhamasisha upandaji wa miti ikiwa ni hatua ya kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi na kuboresha vyanzo vya maji. Miti inayooteshwa katika eneo la Ofisi Makao Makuu hutolewa kwa wananchi bure kwa ajili ya kupanda katika makazi na mashamba yao.
  • Kusimamia na kulinda vyanzo vya maji kwa kutoa elimu kwa wananchi juu ya uhifadhi wa vyanzo vya maji.
  • Kuainisha vyanzo vya maji vilivyopo ndani ya Halmashauri na kuweka mikakati ya kuviboresha vyanzo vilivyovamiwa kwa shughuli za kibinadamu. Katika vyanzo hivyo vilivyoharibika ipandwe miti rafiki na maji ikiwa ni juhudi za kuviboresha ili virudi katika hali yake ya awali.
  • Kupanga na kupima maeneo yanayoiva kwa maendeleo, kuandaa mipango ya urasimishaji makazi katika maeneo yaliyokuwa kiholela.
  • Kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi mijini na vijijini.
  • Kupokea na kuweka kumbukumbu za maombi ya mabadiliko ya matumizi Ardhi na umegaji wa viwanja.
  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.
  • Kufanya uthaminishaji wa mali za serikali na watu binafsi kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kusimamia.
  • Kusuluhisha migogoro ya ardhi, kutafsiri na kusimamia sheria za Ardhi na Mipango miji.
  • Kusimamia uhifadhi wa mazingira pamoja na kusimamia matumizi endelevu ya rasilimali maji, misitu, na wanyamapori kwa ajili ya faida ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho.
  • Pia sekta hii ipo katika mstari wa mbele katika kuongeza kipato cha mtu mmojammoja na mapato ya Halmashauri ya Busokelo na Taifa kwa ujumla kwa kuhamasisha na kuanzisha mashamba ya miti kwa ajili ya biashara.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • WADAU WA VYAMA VYA SIASA BUSOKELO KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    December 21, 2024
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.