• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Elimu Msingi

MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU MSINGI. 

  • Uongozi na Utawala Idara ya Elimu Msingi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.
  • Msimamizi mkuu wa Idara na Vitengo vyake katika kazi za kila siku.
  • Mdhibiti wa matumizi ya fedha za Idara kwa kuzingatia kanuni za matumizi ya fedha za Serikali.
  • Msimamizi mkuu wa mikakati na mbinu za kuinua kiwango cha Taaluma katika Wilaya.
  • Msimamizi mkuu wa shughuli za uboreshaji majengo, miundombinu na  mazingira ya shule Wilayani.
  • Msimamizi mkuu wa upatikanaji wa haki, maslahi na ustawi wa walimu Wilayani.
  • Kusimamia maadili, nidhamu na uwajibikaji wa walimu shuleni na walimu ofisini (Maafisa Elimu na Waratibu Elimu Kata).
  • Kusimamia uhamisho na uhamishaji wa walimu ndani na nje ya Wilaya.
  • Kusimamia idhini ya kwenda mafunzoni walimu na ofisini.
  • Kusimamia mapendekezo ya Waratibu Elimu Kata, TRC na walimu wakuu na kuwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.
  • Kusimamia OPRAS kwa Idara ya Elimu Msingi.

    TAALUMA 

  • Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi;
  • Kushiriki katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha Kwanza;
  • Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini mitihani ya Darasa la Nne na Saba, pamoja na mitihani ya Ualimu na Ufundi katika Wilaya akishirikiana na Baraza la Mitihani Tanzania, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM – TAMISEMI) na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi(WEMU);
  • Kubuni mipango ya kuinua kiwango cha taaluma katika Halmashauri na kusimamia utekelezaji wake;
  • Kukusanya, kuchanganua, kutuma na kutoa takwimu sahihi;
  • Kubuni mipango ya kuimarisha na kuendeleza taaluma ya walimu na wanafunzi;
  • Kuratibu mashindano ya taaluma yanayoendeshwa katikaWilaya;
  • Kuratibu utoaji wa huduma muhimu kwa wanafunzi kama vile mahudhurio, uhamisho na huduma za chakula;

VIFAA NA TAKWIMU

  • Kukusanya na kuratibu takwimu za kielimu.
  • Kupokea, kuchambua na kuratibu taarifa za mwezi,robo mwaka,nusu mwaka na mwaka.
  • Kupokea na kusimamia fedha za ruzuku ya uendeshaji shule[capitation grants] na maendeleo[development grants]
  • Kusimamia na kuratibu ujenzi wa miundombinu ya shule.
  • Kupokea na kuratibu taarifa za PEDP.
  • Kuratibu usajili wa wanafunzi wa darasa la awali na la kwanza.
  • Kuratibu na kusimamia vifaa vya Elimu.
  • Kuratibu mtihani wa Taifa wa darasa la IV na VII.
  • Kuratibu utoaji wa chakula shuleni.

ELIMU MAALUM

  • Kukusanya ,kuchanganua na kutuma takwimu sahihi za wanafunzi wenye ulemavu kuanzia shule za msingi sekondari na watu wazima.
  • Kubuni mipango ya kuimarisha na kuendeleza upatikanaji wa mahitaji ya wanafunzi wenye mahitaji maalum.
  • Kuratibu na kusimamia mafunzo kazini ya walimu wataalam wa elimu maalum.
  • Kusimamia upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum shuleni.
  • Kusimamia uandikishaji wa wanafunzi wenye mahitaji maalum kuanzia shule za msingi hadi sekondari.
  • Kufanya upimaji wa kina ili kubainisha viwango vya ulemavu kwa wanafunzi na kutoa huduma kulingana na mahitaji yao.
  • Kufanya kazi nyingine zitakazoagizwa na mkurugenzi na wakuu wa idara ya msingi na sekondari.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 05, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO June 23, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAH. MADIWANI,MKURUGENZI PAMOJA NA BAADHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA BUSOKELO WAMETEMBELEA BUNGENI

    May 24, 2022
  • VIKUNDI 24 VYA WANAWAKE NA VIJANA VYAKABIDHIWA MIKOPO KIASI CHA MILIONI 118,500,000

    April 29, 2022
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 23, 2022
  • KAMATI YA FEDHA ,UTAWALA NA MIPANGO IMEKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA

    March 05, 2022
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.