• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

Imewekwa tarehe: June 11th, 2025

MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

Mkuu wa mkoa wa  Mbeya Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera amefanya ziara rasmi katika Halmashauri ya Busokelo lengo ikiwa ni kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo 11Juni, 2025.

Katika ziara hiyo,Dkt.Homera ametembelea mradi wa barabara ya Lwangwa-kyejo unaogharimu kiasi cha shilingi billion 6, mradi huo umefikia asilimia 97, ameagiza wataalamu na mkandarasi kuhakikisha kuwa kufikia 10 julai 2025 mradi huo unakamilika.

Sambamba na hilo, Dkt. Homera amepata nafasi ya kutembelea mradi wa vioski vitano(5) vya maji unaotekelezwa na serikali katika kata ya Ntaba unaogharimu kiasi cha shilingi million 300 mradi huo umefikia asilimia 100 za ukamilishaji. Mhe. Dkt.Homera amegiza kuwa vioski hivyo visimamiwe vizuri na viendeshwe kwa ufasini ili wananchi wapate maji safi na salama.

Mhe.Dkt Juma Homera ameongoza mkutano wa hadhara katika eneo la ofisi za kijiji cha Mbambo,katika mkutano huo ametoa taarifa kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kusikiliza changamoto zinazowakumba wananchi,amewaahidi wananchi kuwa serikali ya Awamu ya sita ikiongozwa na Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan inaendelea kuboresha huduma za kijamii ikiwemo maji,umeme na barabara.

Aidha,Dkt.Homera amewataka wananchi kushirikiana kikamilifu na wataalamu pamoja na viongozi ili kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inakamilika kwa ubora na wakati unaotakiwa.Amesema kuwa serikali inaendelea kusimamia na kufuatilia kwa ukaribu miradi ili kuhakikisha Wananchi wanapata maendeleo ya haraka na yenye tija.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa Mhe.Dkt. Juma Zuberi Homera katika Halmashauri yaWilaya ya Busokelo inaashiria nia ya Serikali kuendelea kuleta mabadiliko chanya na kuboresha maisha ya wananchi wa Busokelo kwa ujumla. 


    




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.