- Home
- About Us
-
Adminstration
- Organization Structure
-
Departments
- Adminstration and Human Resource
- Planning and Statistics
- Finance and Trade
- Primary Education
- Secondary Education
- Health
- Water
- Sanitation and Environment
- Agriculture, Irrigation and Cooperatives
- Livestock and Fisheries
- Development and Social Walfare
- Land and Natural Resouces
- Construction, Fire and Works
- Units
- Investment Oppotunities
- Our Services
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center

"Wito wangu kwenu, ninaomba tuitunze zahanati hii, hii ni ya kwetu ni nguvu zetu na ujenzi tulianza wenyewe na Serikali yetu ilituongezea fedha za ukamilishaji vifaa tiba pamoja na Wataalamu, Serikali ya Awamu ya Sita inahakikisha Wananchi wake wanapata huduma bora za matibabu katika maeneo ya karibu ili kuondoa adha ya kusafiri umbali mrefu wa kufuata huduma za matibabu" Alisema Mhe. Haniu.














