• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Historia

Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo ni miongoni mwa Halmashauri mpya za Wilaya zilizoanzishwa nchini Tanzania na ikiwa imegawanywa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mwaka 2012 baada ya mlolongo wa mageuzi nahitaji la kutoa huduma bora na za kutoshwa kwa jamii.

Historia ya Kijiografia

Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo inapatikana kati ya latitude 80 30’mashariki 90 30’kusini mwa ikweta na longitudo 33’ na 34’ mashariki mwa greenwich meridian.Halmashauri inapakana na Wilaya ya Kyela kwa upande wa kusini, Halmashauri yaWilaya ya Rungwe kwa upande wa magharibi, Wilaya ya Makete kwa upande wamashariki na Wilaya ya Mbeya iliyopo upande wa kaskazini. Makao makuu yaHalmashauri ya Wilaya ya Busokelo yapo Mji wa Lwangwa ambao upo kilomita 47kutoka Tukuyu mjini.

 

Eneo laardhi

Halmashauri ina jumla ya eneo la kilomita za mraba 969.14 ambapoasilimia 85 ya eneo hilo linatumika kwa ajili ya kilimo wakati ardhi iliyobakiasilimia 15 zikiwa zimetawaliwa na misitu, milima na maeneo ya makazi

 

Hali yahewa

Hali ya hewa ya Wilaya hii inatokana na urefu wake kutoka usawawa bahari, Wilayah ii ni ya milima ambapo kuna mlima Rungwe na Livingstoneambayo ipo mita 770 hadi 2,265 kutoka usawa wa bahari. Wastani wa mvua nimilimita 900 kwenye maeneo ya tambarare hadi milimita 2,700 kwa maeneo yenyemiinuko. Kwa kawaida joto linakadiliwa kuwa nyuzi joto 18-25 kwa kipindi chotecha mwaka.

ORODHA YA WAKURUGENZI WATENDAJI WALIOFANYA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO

NAMBA
JINA KAMILI
MWAKA
1
Imelda L. Ishuza
2012 - 2014
2
Said A. Mderu
2014 - 2015
3
Dr. Leonard M. Masale
2015 - 2016
4
Eston P. Ngilangwa
2016 -

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • WADAU WA VYAMA VYA SIASA BUSOKELO KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    December 21, 2024
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.