• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Historia

Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo ni miongoni mwa Halmashauri mpya za Wilaya zilizoanzishwa nchini Tanzania na ikiwa imegawanywa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mwaka 2012 baada ya mlolongo wa mageuzi nahitaji la kutoa huduma bora na za kutoshwa kwa jamii.

Historia ya Kijiografia

Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo inapatikana kati ya latitude 80 30’mashariki 90 30’kusini mwa ikweta na longitudo 33’ na 34’ mashariki mwa greenwich meridian.Halmashauri inapakana na Wilaya ya Kyela kwa upande wa kusini, Halmashauri yaWilaya ya Rungwe kwa upande wa magharibi, Wilaya ya Makete kwa upande wamashariki na Wilaya ya Mbeya iliyopo upande wa kaskazini. Makao makuu yaHalmashauri ya Wilaya ya Busokelo yapo Mji wa Lwangwa ambao upo kilomita 47kutoka Tukuyu mjini.

 

Eneo laardhi

Halmashauri ina jumla ya eneo la kilomita za mraba 969.14 ambapoasilimia 85 ya eneo hilo linatumika kwa ajili ya kilimo wakati ardhi iliyobakiasilimia 15 zikiwa zimetawaliwa na misitu, milima na maeneo ya makazi

 

Hali yahewa

Hali ya hewa ya Wilaya hii inatokana na urefu wake kutoka usawawa bahari, Wilayah ii ni ya milima ambapo kuna mlima Rungwe na Livingstoneambayo ipo mita 770 hadi 2,265 kutoka usawa wa bahari. Wastani wa mvua nimilimita 900 kwenye maeneo ya tambarare hadi milimita 2,700 kwa maeneo yenyemiinuko. Kwa kawaida joto linakadiliwa kuwa nyuzi joto 18-25 kwa kipindi chotecha mwaka.

ORODHA YA WAKURUGENZI WATENDAJI WALIOFANYA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO

NAMBA
JINA KAMILI
MWAKA
1
Imelda L. Ishuza
2012 - 2014
2
Said A. Mderu
2014 - 2015
3
Dr. Leonard M. Masale
2015 - 2016
4
Eston P. Ngilangwa
2016 -

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 05, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO June 23, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAH. MADIWANI,MKURUGENZI PAMOJA NA BAADHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA BUSOKELO WAMETEMBELEA BUNGENI

    May 24, 2022
  • VIKUNDI 24 VYA WANAWAKE NA VIJANA VYAKABIDHIWA MIKOPO KIASI CHA MILIONI 118,500,000

    April 29, 2022
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 23, 2022
  • KAMATI YA FEDHA ,UTAWALA NA MIPANGO IMEKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA

    March 05, 2022
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.