• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi na Zima moto

Utangulizi

Idara ya Ujenzi ni miongoni mwa idara na vitengo vinavyoiunda  Halmashauri ya Wilaya Busokelo.

Ilianza kujitegemea rasmi mwaka 2013 baada ya kuanzishwa Halmashauri ya Wilaya  Busokelo, kwani kabla ya hapo ilikuwa chini ya Halmashauri ya Wilaya Rungwe.

Utekelezaji

Idara ina vitengo vifutavyo:

  • Kitengo cha barabara

Kitengo hiki kazi yake kuu ni kuratibu kazi za matengenezo ya barabara za Halmashauri ya Wilaya. Ikumbukwe kuwa, Barabara zilizopokatika Wilaya zimegawanywa katika makundi yafuatayo:

  • Barabara zilizo chini ya wakala wabarabaranchini( TANROADS)

Hizi ni barabara zinazotunzwa na TANROADS. Barabara hizi zina sifa zifuatazo: zinaunganisha makao makuu ya Wilaya na Mkoa, Makao makuu ya Wilaya na Wilaya, au zinaunganisha Wilaya na barabara kuu n.k

  • Barabara zinazohudumiwa na Halmashauri ya Wilaya.

 Katika kundi hili kuna barabara zenye kuwa na sifa zifuatazo: barabara zinazounganisha makao makuu ya kata na Wilaya, kata na kata, Tarafa na kata, barabaraza mijini . Halmashauri ya Wilaya inahudumia mtandao wa barabara zenye urefu wa 510Km .

  • Barabara zinazohudumiwa na jamii( Community roads).

Hizi ni barabara zinazounganisha kijiji na kijiji,kitongoji na kijiji.

Barabara zilizo chini ya jamii zina urefu wa 430Km .

Jukumu kuu la idara ya ujenzi ni kuhakikisha barabara zinazohudumiwa na Halmashauri na Jamii zinaendelea kutengenezwa na kupitika aidha kwa kutoa ushauri katika jamii husika( Community roads) namna bora yakuzifanyia matengenezo barabara hizo.

 Halmashauri ina barabara za mijini(urban roads ) katika miji ya Lwangwa makao makuu ya wilaya na Kandete. Kwa kuwa miji hii inakuwa kwa kasi, ni jukumu la Halmashauri ya Wilaya kupitia idara ya Ujenzi kuhakikisha miundombinu ya barabara inatengenezwa namajengo yanafuata taratibuza mipango miji.

Katika mwaka wa fedha 2015/2016 Halmashauri iliendelea kufungua barabara ili kuboresha huduma za jamii.

Pia Serikali ya Uingereza kupitia shirika lake la maendeleo (DFID) imeweza kufadhili miradi ya Ujenzi wa barabara na madaraja ili kuimarisha sekta ya usafiri vijijini.

  • Kitengo cha majengo

Kazi kubwa ya kitengo hiki ni kusimamia na kuratibu kazi za Majengo ya serikali na jamii. Majengo ya serikali yanayosimamiwa na kitengo hiki ni Majengo ya kutolea huduma za afya, Kilimo, Elimu, Utawala. N.k. Hata hivyo, ushauri kwa wananchi wanaopenda kujenga nyumba za bei nafuu na imara      (zenye Kufuata taratibu za Kihandisi) umekuwa ukitolewa ili kuwa na majengo yenye tija. Sambamba na hilo kwa kushirikiana na idara ya ardhi tumeanzisha utaratibu wa kupitia michoro kwa kila mwananchi anayetaka kujenga nyumba yake katika mji wa Lwangwa na kandete ili kuhakikisha Ujenzi unakuwa wenye tija na unaofuata taratibu za mipango miji.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.