• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Miradi iliyokamilika

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA ROBO YA NNE (APRILI – JUNI, 2018)   MWAKA WA FEDHA 2017/18

 

MFUKO WA  JIMBO    (CDCF)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Kuziwezesha kata kukamilisha miradi mbalimbali  kwa  fedha za mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo ifikapo Juni,2018.
Kuziwezesha kata kukamilisha miradi mbalimbali  kwa  fedha za mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo ifikapo Juni,2018.
Utekelezaji wa miradi katika ngazi ya vijiji na Kata umeshaanza.
50
40,137,000.00
40,137,000.00
40,137,000.00
Kazi zinaendelea.
JUMLA KUU
 
 
 
40,137,000.00
40,137,000.00
40,137,000.00
 


MFUKO WA AFYA (BUSKET FUND)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
AFYA UTAWALA NA HOSPITALI
Kuandaa Mpango kabambe wa afya (CCHP) WA MWAKA WA FEDHA 2018/2019
Kuandaa Mpango kabambe wa afya (CCHP) WA MWAKA WA FEDHA 2018/2019
Mpango Kabambe wa Afya(CCHP) wa mwaka 2018/2019 uliandaliwa

100

16,800,000.00

6,913,100.00

6,913,100.00

Kazi ilifanyika kipindi cha robo ya tatu 2017/2018
Kuwawezesha watumishi 2 wa afya kuhudhuria vikao vya Bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019
Kuwawezesha watumishi 2 wa afya kuhudhuria vikao vya Bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019
Watumishi 2 walihudhuria vikao vya Bajeti

100

2,120,000.00

0

0

Kazi imekamilika.
Kufanya ufuatiliaji wezeshi kwa kila Robo mwakakatika vituo 21 vya kutolea huduma za afya
Kufanya ufuatiliaji wezeshi kwa kila Robo mwakakatika vituo 21 vya kutolea huduma za afya
Kazi  imefanyika ya ufuatiliaji wezeshi katika vituo vyote 21

50

29,634,200.00

2,760,000.00

2,760,000.00

Kazi imefanyika na inaendelea kufanyika.
Kutekeleza makubaliano ya mkataba wa huduma kati ya Halmashauri ya wilaya ya Busokelo na Hospitali ya Itete kila Robo mwaka
Kutekeleza makubaliano ya mkataba wa huduma kati ya Halmashauri ya wilaya ya Busokelo na Hospitali ya Itete kila Robo mwaka
Kazi imetekelezwa ambapo fedha zimepelekwa Hospitali ya Itete kwa ajili ya ununuzi wa dawa

100

74,980,920.00

48,135,200.00

48,135,200.00

Kazi imetekelezwa
JUMLA NDOGO
 

 
126,613,120.00
57,808,300.00
57,808,300.00

VITUO VYA AFYA
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba visivyopatika MSD kwa ajili ya kituo 1 cha afya
Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba visivyopatika MSD kwa ajili ya kituo 1 cha afya
Ununuzi wa Dawa na vifaa tiba umefanyika

20

23,672,200.00

4,945,950.00

4,945,950.00

Kazi imefanyika
Kufanya maadhimisho ya wiki ya chanjo
Kufanya maadhimisho ya wiki ya chanjo
Kazi Haijafanyika.

0

1,200,000.00

0

0

Kazi haijafanyika
Kutoa huduma za Mkoba katika vijiji 3 visivyo rahisi kufikika
Kutoa huduma za Mkoba katika vijiji 3 visivyo rahisi kufikika
Kazi imefanyika katika  vijiji 3 vya Lugombo,Mwela na Ipelo

68

1,080,000.00

740,000.00

740,000.00

Kazi imefanyika
Kuwawezesha watumishi 8 wa kituo cha afya kuandaa Mpango na Bajeti wa mwaka 2018/2019
Kuwawezesha watumishi 8 wa kituo cha afya kuandaa Mpango na Bajeti wa mwaka 2018/2019
Kazi imetekelezwa mpango wa mwaka 2018/2019 umeandaliwa

100

1,710,000.00

530,000.00

530,000.00

Kazi imefanyika
Kuwezesha huduma za dharura kwa wagonjwa katika kituo cha afya
Kuwezesha huduma za dharura kwa wagonjwa katika kituo cha afya
Kazi imefanyika gari la kubeba wagonjwa wa dharura lilitengenezwa pmoja na kuwawezesha watumishi kuhudhuria mafunzo ya utoaji wa dawa za usingizi
100

11,720,000.00

4,802,000.00
4,802,000.00
Kazi imefanyika.
JUMLA NDOGO
 

 
44,632,200.00
11,017,950.00
11,017,950.00

ZAHANATI
Kuwezesha ununuzi wa dawa muhimu na vifaa tiba visivyopatika MSD
Kuwezesha ununuzi wa dawa muhimu na vifaa tiba visivyopatika MSD
Kazi imetekelezwa

17,392,250.00
4,348,062.5
4,348,062.5
Kazi imefanyika.
Kufanya maadhimisho ya wiki ya chanjo
Kufanya maadhimisho ya wiki ya chanjo
Wiki ya chanjo imeazimishwa kuanzia tarehe  21/04/2018 hadi tarehe 30/04/2018
100

8,120,000.00

920,000.00

920,000.00

Kazi imekamilka
Kutoa huduma za mkoba katika vijiji 28 visivyo fikika kwa urahisi
Kutoa huduma za mkoba katika vijiji 28 visivyo fikika kwa urahisi
Huduma za Mkoba zimefanyika kwa miezi yote 3 katika vijiji vyote 28
100
5,654,000.00
4,175.000.00
4,175.000.00
Kazi imekamilika
Kutoa vifaa vya kuhifadhia chanjo kwa zahanati 20
Kutoa vifaa vya kuhifadhia chanjo kwa zahanati 20
Vifaa vya kuhifadhia chanjo kwa zahanati 20 vimenunuliwa
5
17,234,260.00
1,026,000.00
1,026,000.00
Kazi hii itaendelea katika mwaka wa Fedha 2018/19
Kuandaa Mipango na Bajeti za zahanati za mwaka wa fedha 2018/2019
Kuandaa Mipango na Bajeti za zahanati za mwaka wa fedha 2018/2019
Kazi imetekelezwa
100
9,190,000.00
1,410,000.00
1,410,000.00
Kazi imekamilika
JUMLA NDOGO 
 

 
62,024,510.00
7,708,237.50
7,708,237.50
 
 
 
JUMLA KUU MFUKO WA AFYA
 
 
 
244,427,880.00
76,534,487.50
76,534,487.50
 


SHUGHULI ZINAZOFADHILIWA NA UNICEF

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI

AFYA- AFYA YA UZAZI NA MTOTO (RCH)

Kufanya usimamizi wezeshi katika vituo 21 vya kutolea huduma za Tiba kila Robo mwaka
Kufanya usimamizi wezeshi katika vituo 21 vya kutolea huduma za Tiba kila Robo mwaka
Usimamizi wezeshi katika vituo 21 umefanyika
75

7,600,000.00

5,700,600,00
5,700,600.00
Kazi imefanyika.

Kufanya mapitio ya utekelezaji wa Program ya PMTCT  na RMNCH
Kufanya mapitio ya utekelezaji wa Program ya PMTCT  na RMNCH
Mapitio ya utekelezaji wa Program ya PMTCT  na RMNCH yamefanyika
50

5,400,000.00

2,700,000.00
2,700,000.00
Kazi imefanyika.

Kufanya usimamizi elekezi kila Robo mwaka  kwa MNCH,PMTCT na  IVD kwa vituo 21 vya kutolea huduma za tiba
Kufanya usimamizi elekezi kila Robo mwaka  kwa MNCH,PMTCT na  IVD kwa vituo 21 vya kutolea huduma za tiba
Usimamizi elekezi kwa MNCH,PMTCT na  IVD kwa vituo 21 umefanyika
100

5,316,000.00

5,316,000.00
5,316,000.00
Kazi imefanyika.

Kufanya mapitio juu ya mwenendo wa vifo vya wazazi na watoto wachanga (MPDSR)
Kufanya mapitio juu ya mwenendo wa vifo vya wazazi na watoto wachanga (MPDSR)
Mapitio mwenendo wa vifo vya wazazi na watoto wachanga (MPDSR)  yamefanyika
100

3,460,000.00

3,460,000.00
3,460,000.00
Kazi imefanyika.

Kufanya uhamasishaji wa watu kuchangia damu kila Robo mwaka
Kufanya uhamasishaji wa watu kuchangia damu kila Robo mwaka
Uhamasishaji umefanyika katika  maeneo ya  masoko ya Ntaba ,Mwakaleli na Lwangwa
100

3,640,000.00

3,640,000.00
3,640,000.00
Kazi imefanyika.

Kufanya vikao katika vituo 15 vya kutolea huduma za tiba kwa udhamini wa KOICA juu ya Maternal na New born QI
Kufanya vikao katika vituo 15 vya kutolea huduma za tiba kwa udhamini wa KOICA juu ya Maternal na New born QI
Vikao katika vituo 15 vya kutolea huduma za tiba kwa udhamini wa KOICA juu ya Maternal na New born vimefanyika
75

8,650,000.00

6,213,000.00
6,213,000.00
Kazi imefanyika.

Kufanya uchambuzi wa mifumo ya DHIS2 na webportal HMIS na mapitio ya viashiria vya RMNCH
Kufanya uchambuzi wa mifumo ya DHIS2 na webportal HMIS na mapitio ya viashiria vya RMNCH
Uchambuzi wa mifumo ya DHIS2 na webportal HMIS na mapitio ya viashiria vya RMNCHB umefanyika.
50

1,200,000.00

600,000.00
600,000.00
Kazi imefanyika.

Kufanya Tathmini ya usahihi wa takwimu katika vituo 21 vya kutolea huduma za tiba
Kufanya Tathmini ya usahihi wa takwimu katika vituo 21 vya kutolea huduma za tiba
Tathmini ya usahihi wa takwimu katika vituo 15 vya kutolea huduma za tiba umefanyika
50

4,500,000.00

2,175,000.00
2,175,000.00
Kazi imefanyika.

Kuwezesha utekelezaji wa huduma ya mama na mtoto iliyo boreshwa (QI)
Kuwezesha utekelezaji wa huduma ya mama na mtoto iliyo boreshwa (QI)
Uwezeshaji wa utekelezaji wa huduma ya mama na mtoto iliyo boreshwa umefanyika
100

7,380,000.00

7,380,000.00
7,380,000.00
Kazi imefanyika.

JUMLA NDOGO-RCH

 

 
47,146,000.00
37,184,600.00
 
 
37,184,600.00
 
 

LISHE

 

 
 
 
 
 


Kutoa mafunzo ya siku 5 juu ya MYCAN kwa watumishi wa afya 42
Kutoa mafunzo ya siku 5 juu ya MYCAN kwa watumishi wa afya 42
Mafunzo ya siku 5 juu ya MYCAN kwa watumishi 42
50

19,150,000.00

9,575,000.00
9,575,000.00
Shughuli imetekelezwa

Kufanya vikao vya lishe vya kisekta pamoja na waratibu wa lishe Kutoka kwenye NGOs na CBOs kwaajili ya kuandaa Mpango kazi wa lishe
Kufanya vikao vya lishe vya kisekta pamoja na waratibu wa lishe Kutoka kwenye NGOs na CBOs kwaajili ya kuandaa Mpango kazi wa lishe
Mpango kazi wa Lishe wa mwaka 2018/2019 umeandaliwa
100

1,330,000.00

1,330,000.00
1,330,000.00
Kazi imekamilika

Kufanya vikao vya kamati ya lishe kila Robo mwaka
Kufanya vikao vya kamati ya lishe kila Robo mwaka
Kikao cha Kamati ya Lishe  kimefanyika
100

990,000.00

980,000.00
980,000.00
Shughuli imetekelezwa

Kufanya usimamizi wezeshi katika utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kila Robo mwaka
Kufanya usimamizi wezeshi katika utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kila Robo mwaka
Usimamizi umefanyika katika vituo 12 na vituo vingine 10 vitafanyiwa usimamizi katika a robo ya tatu
100

4,756,000.00

4,587,000.00
4,587,000.00
Kazi Imekamilika

Kutoa mafunzo ya siku 3 kwa watumishi wa afya juu ya maendeleo ya ukuaji kwa vipimo vya WHO
Kutoa mafunzo ya siku 3 kwa watumishi wa afya juu ya maendeleo ya ukuaji kwa vipimo vya WHO
Wawezeshaji wameshapata mafunzo na mafunzo  kwa watumishi yatafanyika  robo ya tatu
100

10,650,000.00

10,650,000.00

10,650,000.00

Kazi imefanyika

JUMLA NDOGO – LISHE
 
 

38,126,000.00

27,122,000.00
27,122,000.00
 

MIPANGO

Kufanya ufuatiliaji na Tathmini ya shughuli za UNICEF
Kufanya ufuatiliaji na Tathmini ya shughuli za UNICEF
Ufuatiliaji wa shughuli za UNICEF unaendelea kufanyika.
100

8,182,000.00

8,181,000.00
8,181,000.00
Kazi imekamilika.

JUMLA NDOGO

 
 

8,182,000.00

8,181,000.00
8,181,000.00
 

JUMLA KUU UNICEF

 

 
 

156,654,000.00

72,487,600.00
72,487,600.00
 

















 

SHUGHULI ZA  MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE (NTD)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Uhamasishaji wa zoezi la unyweshaji dawa za magonjwa yasiyopewa kipaumbele mashuleni
Uhamasishaji wa zoezi la unyweshaji dawa za magonjwa yasiyopewa kipaumbele mashuleni
Uhamasishaji umefanyika katika shule  za msingi 61
100
805,000.00
805,000.00
805,000.00
Kazi imekamilika
Kunywesha dawa za minyoo na kichocho mashuleni kwa walimu 122
Kunywesha dawa za minyoo na kichocho mashuleni kwa walimu 122
Walimu wote 122 wamenyweshwa dawa kutoka katika shule zote 61
100
6,382,000.00
6,382,000.00
6,382,000.00
Kazi imekamilika
Ufuatiliaji na usimamizi wa zoezi la unyweshaji dawa za minyoo na kichocho mashuleni
Ufuatiliaji na usimamizi wa zoezi la unyweshaji dawa za minyoo na kichocho mashuleni
Ufuatiliaji umefanyika katika shule zote 61
100

1,863,200.00

1,863,200.00
1,863,200.00
Kazi imekamilka
Kufanya mafunzo ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele mashuleni kuhusu unyweshaji wa dawa za minyoo na kichocho
Kufanya mafunzo ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele mashuleni kuhusu unyweshaji wa dawa za minyoo na kichocho
Mafunzo ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele  yamefanyika mashuleni ambapo walimu 122 walipata mafunzo.
100

7,520,400.00

7,520,400.00
7,520,400.00
Kazi imekamilika
JUMLA KUU
 
 
 
16,570,600.00
16,570,600.00
16,570,600.00
 


SHUGHULI ZA  UKIMWI

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Kuwawezesha  watumishi ngazi ya jamii wanaohusika na kusaidia huduma za kinamama wenye watoto wachanga (mama mwambata)kufikia Juni 2018
Kuwawezesha  watumishi ngazi ya jamii wanaohusika na kusaidia huduma za kinamama wenye watoto wachanga (mama mwambata)kufikia Juni 2018
Watumishi 8 wamelipwa mishahara yao na stahiki zao nyingine
100
3,480,000.00
3,480,000.00
3,480,000.00
Kazi imekamilika
Kufanya kikao cha siku moja cha wadau wa Afya kutoka vituo vyote vya kutolea huduma za ukimwi kufikia sep 2018
Kufanya kikao cha siku moja cha wadau wa Afya kutoka vituo vyote vya kutolea huduma za ukimwi kufikia sep 2018
Kikao cha wadau wa Afya kimefanyika
100
2,066,000.00
2,066,000.00
2,066,000.00
Kazi imekamilika
Kuwawezesha wafanyakazi wa vituo  7 vya kutolea huduma ya CTC ifikapo Juni 2018
Kuwawezesha wafanyakazi wa vituo  7 vya kutolea huduma ya CTC ifikapo Juni 2018
Wafanyakazi wa vituo vyote 7 wamewezeshwa  katika utoaji huduma ya CTC
100
14,065,040.00
14,065,040.00
14,065,040.00
Kazi imekamilka
JUMLA KUU
 
 
 
19,611,040.00
19,611,040.00
19,611,040.00
 

 

 

ELIMU BILA MALIPO (MSINGI)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Kutoa fedha za uendeshaji wa shule kwa wanafunzi 25,543 wa shule za Msingi
Kutoa fedha za uendeshaji wa shule kwa wanafunzi 25,543 wa shule za Msingi
Fedha za uendeshaji zimepokelewa na kupelekwa katika shule zote 61
100

106,473,000.00

129,629,734.87
129,629,734.87
Fedha zimepokelewa na kupelekwa katika shule zote
Kutoa posho ya madaraka kwa walimu wakuu 61 na Waratibu elimu kata 13
Kutoa posho ya madaraka kwa walimu wakuu 61 na Waratibu elimu kata 13
Posho ya madaraka kwa walimu wakuu 61 na Waratibu elimu kata 13 zimeshatolewa
100

185,400,000.00

185,400,000.00
185,400,000.00
Fedha zimepokelewa na kupelekwa katika shule zote
JUMLA KUU
 
 
 
312,635,000.00
315,029,734.87
315,029,734.87
 

  

ELIMU BILA MALIPO (SEKONDARI)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Kutoa fedha za chakula kwa wanafunzi 2084 wa kidato cha 5 na 6
Kutoa fedha za chakula kwa wanafunzi 2084 wa kidato cha 5 na 6
Fedha kwa ajili ya chakula zimepelekwa katika shule za sekondari za Lwangwa,Lufilyo na Mwakaleli
100

699,744,000.00

1,088,803,867.4
1,088,803,867.4
Fedha zimeshapelekwa mashuleni.
Kutoa fedha za uendeshaji wa shule kwa wanafunzi 7081wa Sekondari
Kutoa fedha za uendeshaji wa shule kwa wanafunzi 7081 wa Sekondari
Fedha za uendeshaji zimeshapelekwa katika shule zote 15
100

57,296,000.00

86,965,338.41
86,965,338.41
Fedha zimeshapelekwa mashuleni
Kutoa posho ya madaraka kwa wakuu wa shule 15
Kutoa posho ya madaraka kwa wakuu wa shule 15
Posho zimeshashatolewa katika shule zote 15
100

45,000,000.00

45,000,000.00
45,000,000.00
Fedha zimeshapelekwa mashuleni
Kutoa fidia ya ada kwa wanafunzi 5179 wa shule za sekondari
Kutoa fidia ya ada kwa wanafunzi 5179 wa shule za sekondari
Fidia za ada zimepokelewa na kutolewa katika shule zote 15
100

96,860,000.00

   

97,549,587.34
97,549,587.34
Fedha zimeshapelekwa mashuleni
JUMLA KUU 

 
 
898,900,000.00
1,318,318,793.15
1,318,318,793.15
 

 

MIRADI YA EP4R (ELIMU MSINGI)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya Msingi Lukasi
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya Msingi Lukasi
Ujenzi upo hatua ya upauaji
60
8,064,324.33
8,064,324.33
0
Kazi inaendelea kwa nguvu za wananchi
Ukamilishaji wa chumba cha darasa kimoja katika shule ya Msingi Kasanga
Ukamilishaji wa chumba cha darasa kimoja katika shule ya Msingi Kasanga
Ujenzi umeanza upo katika hatua ya Msingi
10

20,000,000.00

20,000,000.00
0
Kazi inaendelea kwa nguvu za wananchi
Ufuatiliaji , Takwimu na Usimamizi wa Kielimu
Ufuatiliaji , Takwimu na Usimamizi wa Kielimu
Ufuatiliaji , Takwimu na Usimamizi wa Kielimu umefanyika.
100

5,994,794.16

5,994,794.16

5,994,794.16

Kazi imekamilika.
Kurekebisha ikama ya walimu
Kurekebisha ikama ya walimu
Walimu 9 walilipwa fedha za uhamisho ambapo walimu 3 walihamia shule ya msingi Mapambano,2  Nyanga,2 Ipoma, 1Lupata na 1 shule ya msingi Ndubi.
100

17,984,382.49

17,984,382.49

17,984,382.49

Kazi imekamilika

JUMLA KUU
 
 

52,043,500.98

52,043,500.98
23,979,176.65

 

MIRADI YA EP4R (ELIMU SEKONDARI)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOKASIMIWA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya sekondari Luteba
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya sekondari Luteba
Utekelzaji bado haujaanza .
0

7,494,406.44

7,494,406.44

0
Fedha zimeshapelekwa shule.
Ukamilishaji wa maabara za Fizikia katika shule za sekondari 8 za Luteba,Mbigili,Mzalendo,Ikapu,Selya,Kisegese,Mpata na Kyejo
Ukamilishaji wa maabara za Fizikia katika shule za sekondari 8 za Luteba,Mbigili,Mzalendo,Ikapu,Selya,Kisegese,Mpata na Kyejo
Utekelezaji bado haujaanza
0

26,765,737.29

26,765,737.29
0
Utaratibu wa kutafuta mafundi unaendelea.
Ufuatiliaji , Takwimu na Usimamizi wa Kielimu
Ufuatiliaji , Takwimu na Usimamizi wa Kielimu
Ufuatiliaji na Usimamizi wa Takwimu umefanyika na takwimu zimeshaingizwa kwenye Mfumo
100

2,973,970.81

2,973,970.81
2,973,970.81
Kazi imekamilika.
 
 
JUMLA KUU
 

37,234,114.54

37,234,114.54
2,973,970.81
 

 

USAFI WA MAZINGIRA 

NA

SHUGHURI ZILIZOPANGWA

UTEKELEZAJI

% YA UTEKELEZAJI

FEDHA ILIYOKASIMIWA

FEDHA ILIYOTOLEWA

FEDHA ILIYOTUMIKA

MAONI

1
Kufanya vikao vya kila robo vya Kamati ya usimamizi wa maji na usafi wa mazingira  (CWST) ya Halmashauri
Vikao vimefanyika robo ya pili na tatu
50

3,658,000.00

3,658,000.00

2,670,000.00
Kikao cha robo ya nne kitafanyika katika robo ya kwanza ya mwaka 2018/2019
2
Ufuatiliaji wa usafi wa mazingira kwenye maeneo yote kwa kila robo na taarifa zake.
Ufuatiliaji wa usafi wa mazingira kwenye vijiji vyote 56
100

10,838,100.00

10,838,100.00

10,053,900.00

Kazi imekamilika..
3
Kuwawezesha watumishi kuhudhuria vikao ngazi ya Mkoa kwa kila robo mwaka
Mtumishi alihudhuria kikao  kimoja Mkoani Mbeya
100

503,900.00

503,900.00

340,000.00

Kazi imekamilika
                       JUMLA KUU

15,000,000.00

15,000,000.00

13,063,900.00

 

 

UJENZI WA VITUO VYA AFYA 

JINA LA MRADI

SHUGHULI ZILIZOPANGWA

UTEKELEZAJI

% YA UTEK.

FEDHA ILIYOKASIMIWA

FEDHA ILIYOTOLEWA

FEDHA ILIYOTUMIKA

MAONI

Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mpata
Ujenzi wa Jengo la Upasuaji, Maabara ,Wodi ya Wazazi,kuhifadhia maiti,  kutakasia nguo, nyumba ya mtumishi,Jengo la wagonjwa wa ndani (IPD)na Ujenzi wa Jengo la wagonjwa wa nje (OPD)
Majengo ya Upasuaji, Maabara, kuhifadhia maiti, jengo la kutakasia nguo na nyumba ya mtumishi yapo hatua ya kupigwa lipu.
Jengo la wodi ya Wazazi lipo hatua ya ukamilishaji wa boma.
Jengo la wagonjwa wa ndani(IPD) lipo hatua ya upauaji.
68

500,000,000.00

500,000,000.00

229,566,595.00
Kazi inaendelea vizuri.
Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Isange
Ujenzi wa Jengo la Upasuaji, Maabara,Wodi ya Wazazi, kuhifadhia maiti,  kutakasia nguo na Ujenzi wa jengo la mionzi (x-ray)
Ujenzi upo hatua ya msingi katika majengo yote.
10

500,000,000.00

500,000,000.00

0
Kazi inaendelea vizuri

JUMLA KUU


1,000,000,000.00

1,000,000,000.00

229,566,595.00

 

 

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILIYOVUKA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

RUZUKU YA MIRADI YA MAENDELEO – LGCDG

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZOPANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOVUKA MWAKA
FEDHA ILIYOTOLEWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
IDARA YA UTAWALA
Kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la utawala makao makuu ya Halmashauri
Kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la utawala makao makuu ya Halmashauri
Janvi la msingi wa jengo limeshawekwa bado kujenga nguzo
20

316,684,804.00

316,684,804.00
285,364,357.00
Ujenzi umesimama lakini mchakato wa kumpata Mkandarasi mwingine ili aendelee na kazi unaendelea.
JUMLA MKUU
 
 
 

316,684,804.00

316,684,804.00
285,364,357.00
 

 

MRADI WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA (RWSSP)

JINA LA MRADI
SHUGHULI ZILIZO PANGWA
 UTEKELEZAJI
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOVUKA MWAKA
FEDHA ILIYO
TOLEWA
FEDHA ILIYO
TUMIKA
MAONI
Kujenga mradi wa maji Ilamba
Kujenga mradi wa maji Ilamba
Ujenzi wa uzio wa tenki pamoja na vituo sita (6) vya nyongeza umekamilika
100
102,485,314.16
102,485,314.16
68,932,500.00
Kazi imekamilika.
Kujenga mradi wa maji Kapyu
Kujenga mradi wa maji Kapyu
Upimaji na usanifu wa mradi umekamilika.
10
84,796,260.00
84,796,260.00
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi
Kujenga mradi wa maji Kilimansanga
Kujenga mradi wa maji Kilimansanga
Upimaji na usanifu wa mradi umekamilika.
10
80,000,000.00
80,000,000.00
0
Kazi ipo hatua ya manunuzi
Kukarabati mradi wa maji Mbambo
Kukarabati mradi wa maji Mbambo
Kazi ya kufunga mabomba kutoka kwenye chanzo kuelekea kwenye Tenki imekamilika. Ujenzi wa uzio, vituo sita vya nyongeza vya maji, ukarabati wa chanzo na tenki utekelezaji wake uko hatua ya ununuzi wa vifaa.
48
16,328,480.00
16,328,480.00
6,592,000.00
Kazi inaendelea
Kusimamia miradi ya maji
Kusimamia miradi ya maji
Ufuatiliaji na usimamizi wa Miradi ya Maji unaendelea
75
19,101,655.09
26,291,655.09
26,291,655.09
Kazi inaendelea
JUMLA 
 
315,794,774.25
314,924,774.25

101,816,155.09

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.