• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC MALISA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

Imewekwa tarehe: September 24th, 2025

RC MALISA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe.Beno Malisa amefanya ziara ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


Mhe. Malisa akiongozana za Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa amepitia na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa mradi ujenzi wa vioski vitano vya majini pamoja uchimbaji wa visima wenye thamani ya shilingi milioni 300 chini ya RUWASA kwa lengo kufikisha huduma bora za maji safi na salama kwa Wakazi wa Kata ya Ntaba.


Katika Ziara hiyo Mhe.Malisa ameagiza wataalamu wanaosimamia utekelezaji wa miradi hiyo kuhakikisha ina kamilika kwa wakati na kuendana na viwango vinavyokusudiwa.


Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya Bw.Rodrick Mpogolo amesisitiza kuhusu utunzaji wa nyaraka zote za miradi   kwa ajili rejea mbalimbali  ikiwemo masuala ya  ukaguzi.


Miradi mingine iliyokaguliwa ni  pamoja na ujenzi wa ofisi ya kijiji cha Kandete ambapo kiasi cha shilingi milioni 65.8  kimetengwa kupitia mapato ya ndani ya Halamshauri ili kutekeleza ujenzi huo.


Mradi wa ukamilishaji wa zahanati ya kikuba unaogharimu kiasi cha shilingi milioni 142.7,  ujenzi wa Barabara ya Lwangwa-Kyejo yenye kiwango cha lami wenye thamani ya shilingi bilioni 6.1 pamoja ujenzi wa bweni la Wanafunzi katika shule ya Sekondari Lwangwa wenye thamani ya shilingi milioni 189.7

Aidha Mhe. Malisa amekagua kikundi vijana wa bodaboda WASTARABU  Kata ya Lwangwa amabao ni Wanufaika wa mkopo wa shilingi milioni 16 kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri, Kamati ya Usalama Mkoa wa Mbeya imewataka vijana hao kuendesha shughuli za kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC MALISA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

    September 24, 2025
  • JUMLA YA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 171. YAKAGULIWA NA KAMATI YA UKAGUZI.

    July 14, 2025
  • MAJARIBIO YA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SOKA BUSOKELO

    July 18, 2025
  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.