• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

JUMLA YA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 171. YAKAGULIWA NA KAMATI YA UKAGUZI.

Imewekwa tarehe: July 14th, 2025

JUMLA YA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 171. YAKAGULIWA NA KAMATI YA UKAGUZI.


Kamati ya Ukaguzi wa Miradi Halmashauri ya Busokelo leo 14/07/2025 imekagua na  kupongeza katua za utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi milioni 171.

Miongoni miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa Bweni la Wanafunzi katika shule ya Sekondari ya Wavulana Busokelo Kata ya Isange unaojengwa kupitia milioni 80 za mapato ya shule , hadi sasa mradi huo upo katika hatua ya linta.


Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi Halmashauri ya Busokelo Mwl.Wilbert Bendera  alipongeza hatua za Ujenzi wa mradi huo huku akisisitiza kukamilika kwa mradi huo katika muda uliyopangwa ili Wanafunzi waanze kutumia Bweni hilo.

Aidha katika hatua nyingine Kamati ilikagua ujenzi wa nyumba ya Mtumishi katika shule ya msingi Ipyela Kata ya Luteba wenye thamani ya shilingi milioni 51 kupitia mradi wa GPE-PSP, ujenzi upo katika hatua ya kupaua .Kamati iliwapongeza Wataalamu na Wananchi wanaosimamia ujenzi huo.

Katika hatua nyingine Kamati ilifika katika mradi wa ujenzi  wa Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji Kata ya Kandete, ambapo Halmashauri imetenga kiasi cha Shilingi milioni 40 kupitia mapato ya ndani ili kutekeleza ujenzi huo, na mpaka sasa ujenzi upo katika hatua ya msingi na tayari mafundi wamekwisha mwaga jamvi katika msingi huo.

Katika kuhitimisha ziara ya ukaguzi Mwenyekiti wa Kamati  Mwl.Bendera pamoja na wajumbe walipongeza juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuwezesha utekelezaji miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Busokelo, na kuwahimiza Wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kushiriki kimalilifu katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JUMLA YA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 171. YAKAGULIWA NA KAMATI YA UKAGUZI.

    July 14, 2025
  • MAJARIBIO YA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SOKA BUSOKELO

    July 18, 2025
  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.