• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MIRADI YA MAENDELEO YENYE JUMLA YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI 6.6 YAKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

Imewekwa tarehe: October 10th, 2025

MIRADI YA MAENDELEO YENYE JUMLA YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI 6.6 YAKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi ameridhishwa na usimamizi wa miradi ya maendeleo inayatokelezwa katika Halamshauri ya Wilaya ya Busokelo.Ndugu Ussi akiongoza Msafara wa Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo leo 10/10/2025 amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 6.6 inayotekelezwa katika Halmashauri ya Busokelo.

Miradi hiyo  ni pamoja na uwekaji wa jiwe la msingi katika ujenzi wa Ofisi ya Kijiji cha Kandete kata ya Kandete inayojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 59, ambapo shilingi milioni 4.16 ni mchango wa nguvu za Wananchi, shilingi milioni 55.7 zimetengwa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri.Akizungumza na Wananchi wa Kandete Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru ameitaka jamii ya wakazi wa Kandete kutumia ofisi hiyo ya umma kwa ajili kutatua kero za Wananchi.

Katika hatua nyingine Ndugu Ismail Ali  Ussi amewataka Wananchi wa Busokelo kushiriki katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025.Aidha Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge  ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kikuba Kata ya Lufilyo wenye thamani ya shilingi milioni 149.Akiwa katika kijiji cha Kikuba kiongozi huyo  wa mbio za Mwenge wa Uhuru amebainisha kuwa serikali ya Awamu ya sita inaendelea kutoa  huduma bora za jamii kwa Wananchi wake ikiwemo huduma za Afya.

Miradi mingine iliyotembelewa na Mbio za Mwenge wa Uhuru ni pamoja na Uzinduzi wa Bweni la Wanafunzi katika shule ya sekondari Lwangwa wenye thamani shilingi milioni 189.7, Kikundi cha Wastarabu Bodaboda Lwangwa waliopatiwa mkopo wa shilingi milioni 16 kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri.Vilevile Mwenge wa uhuru umetembelea mradi wa ujenzi wa barabara ya Lwangwa –Kyejo yenye kilomita 6.41 kiwango cha lami iliyojengwa kwa  gharama ya shilingi bilioni 6.19 pamoja na ugawaji wa mitungi ya kupikia yenye thamani ya shilingi 11 kwa ajili ya kuendeleza matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuhifadhi mazingira

.“Shiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu”



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MIRADI YA MAENDELEO YENYE JUMLA YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI 6.6 YAKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

    October 10, 2025
  • RC MALISA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

    September 24, 2025
  • JUMLA YA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 171. YAKAGULIWA NA KAMATI YA UKAGUZI.

    July 14, 2025
  • MAJARIBIO YA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SOKA BUSOKELO

    July 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.