• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SHILINGI BILIONI 32.9 ZAIDHINISHWA BAJETI YA HALMASHAURI MWAKA WA FEDHA 2026/2027.

Imewekwa tarehe: January 14th, 2026



SHILINGI BILIONI 32.9 ZAIDHINISHWA BAJETI YA HALMASHAURI MWAKA WA FEDHA 2026/2027.

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo limeidhinisha  Bajeti ya Mwaka 2026/2027 yenye kiasi cha Shilingi Bilioni 32,9 kwa ajili ya kutekeleza programu mbalimbali zilizopangwa kufanyika katika Halmashauri kwa kipindi cha mwaka huo wa fedha.


Kikao hicho cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya  ya Busokelo kimeketi leo 14/01/2026 kujadili Mapendekezo ya Mpango na Bajeti 2026/2027 kisha kuidhinisha Bajeti hiyo.

Bajeti hii imeongezeka kwa asilimia 0.47% ikilinganishwa na Bajeti ya Mwaka wa Fedha2025/2026 ambayo ilikuwa Shilingi Bilioni 32.8,

Kwa Bajeti hii  Halmashauri uta punguza utegemezi 

toka Serikali Kuu kutoka asilimia 11.68% mwaka 2025/2026 hadi asilimia 12.09 % Mwaka 2026/2027.

Miongoni mwa  programu zinazotazimwa kutekeleza kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 ni pamoja na Ruzuku ya Mishahara (PE), Ruzuku ya Matumizi Mengineyo, utekelezaji wa Miradi ya maendeleo  inayofadhiliwa na Fedha za Ndani (Development Local)  pamoja na tekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayofadhiliwa na Fedha za Wafadhili (Development Foreign).

Katika hatua nyingine akiwasilisha Salamu za Serikali Katibu Tawala Wilaya ya Rungwe ,Bw.Ally S.Kiumwa  amehimiza Wazazi, Walezi na Walimu kuhakikisha kuwa Wanafunzi wote waliosajiliwa kuanza Elimu ya Awali na Msingi pamoja na wale waliyofaulu kuingia Kidato cha kwanza kwa Mwaka wa Masomo 2026 kuhakikisha wote wanaripoti shuleni ili kuanza masomo yao.

Adhia Bw.Kiumwa masisitiza ni vema kuhakikisha suala la utoro kwa Wanafunzi mashuleni, linadhibitiwa ila kuwapatia Watoto Elimu Bora pamoja na kuhakikisha malengo na mikakati ya Elimu Wilayani Rungwe inafikiwa kama ilivyokusudiwa ikiwa ni pamoja  kukuza ufaulu kwa Wanafunzi.

Katika Salam za Chama Cha Mapinduzi CCM Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rungwe Mhe.Meckson Mwakipunga amewashukuru Wataalamu na Halmashauri na Waheshimiwa Madiwani kwa kutekeleza Mpango huo wa Bajeti kwa zingatia Taratibu zote ikiwemo Ilani ya CCM huku akishauari Halmashauri iandike maandiko mengi(Proposals) kwa ajili  ukamilishaji wa miradi mbalimbali Iliyoanzishwa kwa nguvu za Wananchi ili kuwezesha upatikana wa huduma bora kwa jamii.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHILINGI BILIONI 32.9 ZAIDHINISHWA BAJETI YA HALMASHAURI MWAKA WA FEDHA 2026/2027.

    January 14, 2026
  • MIRADI YA MAENDELEO YENYE JUMLA YA THAMANI YA SHILINGI BILIONI 6.6 YAKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

    October 10, 2025
  • RC MALISA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA BUSOKELO.

    September 24, 2025
  • JUMLA YA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 171. YAKAGULIWA NA KAMATI YA UKAGUZI.

    July 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.