Saturday 20th, April 2024
@Ukumbi wa Hospitali ya Wilaya
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Busokelo amekutana na watumishi wote wa idara ya Afya na kusikiliza kero ambazo zinakwamisha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa wateja. Aidha Mkurugenzi Mtendaji aliambatana na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo.
Katika kusikiliza changamoto zinazokwamisha utendaji wa kazi kuwa chini ya kiwango Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya alileza kuwa kuna upungufu wa watumishi wa hospitali,upungufu wa miundombinu ya TEHAMA, kukatika katika kwa umeme na
Lwangwa, Tukuyu
Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu
Simu: +255 737 205 318
Simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz
Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.