• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BUSOKELO KUWAPATIA WATOTO CHANJO YA POLIO.

Imewekwa tarehe: September 18th, 2023

BUSOKELO KUWAPATIA WATOTO CHANJO YA POLIO.

Kampeni Kitaifa ya chanjo ya polio itafanyika nyumba kwa nyumba katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo ili kuwakinga Watoto wote walio na umri 0 hadi miaka 8 dhidhi ya ugonjwa hatari wa Polio.

Hayo yamebainishwa leo 18/09/2023 na Mwenyekiti wa Kamati ya Msingi ya Afya ngazi ya Jamii Mhe. Jafarr Haniu katika kikao kilicho wakutanisha wajumbe wa kamati hiyo katika Ukumbi wa Halmahsauri ya Wilaya ya Busokelo Kwa ajili ya maandalizi ya kampeni ya Kitaifa ya Chanjo ya Polio itakayo anzaa tarehe 21-24/09/2023

Akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa kamati hiyo Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu, amewaagiza wajumbe wa kamati wahakikishe kuwa  jamii inashirikishwa kikamilifu, ili zoezi la utoaji chanjo ya matone ya Polio iwafikie kwa wingi watoto katika maeneo yote ya Busokelo.

“Nikampeni  ya Kitaifa ambayo itaanza kuanzia 21 mpaka tarehe 24, itahususha Watoto wenye umri wa miaka 0 hadi 8, itahusisha vituo vya afya,maeneo ya mikusanyiko, nyumba hadi nyumba, ni zoezi amabalo linahitaji ushiriki wetu sote , viongozi wa dini Watumishi  kwahiyo niwaombe sana tushiriki kila mmoja kwa nafasi yake lengo Watoto wapate chanjo ili tuweze kuwakinga Watoto wetu dhidhi ungonjwa huu ” amesema Mhe.Haniu.

Akifafanua kuhusu kampeni ya kitaifa ya Chanjo ya Polio, Mratibu wa Chanjo Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo Bw. Bariki Mhagama ameeleza kuwa lengo la Kampeni hiyo ni  kuongeza  uelewa kwa wanajamii kuhusu faida ya chanjo za Polio, Kuwafikia  watoto wengi zaidi  katika maeneo yetu na  taasisi zetu, kutumia taasisi, taaaluma na nafasi tulizonazo  ili kuwafikia wanajamii kwa kauli moja ya kwenda kuwapeleka Watoto  wapate chanjo itakayo wakinga dhidhi ya ugonjwa wa Polio na kuwa Mabalozi wa kuendesha  kampeni dhidi ugonjwa hatari wa Polio na chanjo yake.

POLIO ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi cha polio, ugonjwa huu humsababishia mgonjwa kupooza  viungo vya mwili na hata kupoteza maisha. Virusi vinaweza kuingia kwa njia ya mdomo kwa kunywa maji au chakula ambacho kimechafuliwa na kinyesi kutoka kwa mtu aliyeambukizwa na virusi hivyo

Kwa mara ya mwisho Tanzania ilipata Mgonjwa  wa Polio mnamo mwaka 1996 ,hivi karibuni Mgonjwa amegundulika Sumbawanga Mkoani Rukwa, na hivyo Serikali imeamua kufanya kampeni ya chanjo ya Polio katika mikoa ya Rukwa, Mbeya, Songwe, Katavi,  Kigoma na Kagera.

Walengwa  wa chanjo ya  watoto walio na umri 0 hadi miaka 8 walioko  mashuleni, Nyumbani, Vituo vya kulelea watoto, na  shule za awali bila malipo yoyote.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.