• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BUSOKELO YAPOKEA FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA

Imewekwa tarehe: April 4th, 2023

Kamati ya BOOST YA HALMASHAURI, Leo tarehe 04.04.2023 imekutana na viongozi wa kata, vijiji na Shule kwa maeneo yaliyopata miradi na kuwajulisha kiasi cha fedha zilizopokelewa pamoja na taratibu, muda wa utekelezaji, uundwaji wa kamati  tatu ndogo pamoja na majukumu yao

Mratibu wa Mradi Mwalimu Darus Limandola amewaeleza wajumbe Shule zilizopata mradi wa BOOST ikiwa ni pamoja na:-

1.Ipoma shule ya msingi madarasa 2 ya Elimu ya awali yenye thanani yaTZS.69.1milioni

2.Kandate shule ya msingi madarasa 2 ya kawaida yenye thanani ya TZS 50Mil na vyoo matundu 3  yenye thamani ya TZS 6mil

3. Kingili shule ya msingi madarasa 3 ya kawaida yenye thanani ya TZS 75mil na vyoo matundu 3 yenye thanani ya TZS 6mil

4. Mbambo shule ya msingi madarasa 2 ya kawaida yenye thanani ya TZS 50mil na vyoo matundu 3 yenye thanani yaTZS 6mil

5. Ndobo shule ya msingi madarasa 2 ya kawaida yenye thanani ya TZS 50 mil na vyoo matundu 3 yenye thanani ya TZS 6 mil

6. Lwangwa shule ya msingi ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja TZS 347.5mil

Aidha wajumbe wamepewa muda wa utekelezaji wa miradi ni wa siku tisini kuanzia tarehe 27.03.2023 pamoja na maelekezo mengine kama ifuatavyo

1. Wameelezwa malengo ya miradi ya BOOST

2. Mpango wa utekelezaji wa siku 90, kwa Halmashauri ni siku 80 kwa ngazi ya shule

3.Umuhimu wa vikao vya kila wiki ngazi ya shule kwa ajili ya utekelezaji wa mradi na kujua hatua ya ujenzi

4.Uandishi wa mihtasari wa vikao

5.Nyaraka mbalimbali na utunzaji wa nyaraka hizo

6.Wajibu wa wananchi katika ulinzi na umilikaji wa mradi na uwazi wa matumizi ya fedha


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.