• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

FUM YAAGIZA MRADI WA MAWESE KISEGESE UZALISHAJI UANZE.

Imewekwa tarehe: July 19th, 2023

FUM YAAGIZA MRADI WA MAWESE KISEGESE UZALISHAJI UANZE.

Na Peter I.Tungu.

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM) Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, imekagua mradi wa kikundi cha akina Mama cha kuchakata mawese kilichopo katika kata ya Kisegese ikiagiza mradi huo ukamilike ili kuanza uzalishaji wa mafuta ya mawese.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, Mhe. Anyosisye Njobero, aliongoza ziara hiyo tarehe 18/07/2023  akiwa na Mkurugenzi Mtendji Halmashauri ya Busokelo Mhe.Loema I.Peter ambaye ndiye katibu wa kamati ya (FUM), pamoja na wajumbe wa kamati hiyo ambao ni Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara na vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, kwaajili ya kufanya tathmini  ya miradi ya maendeleo ya jamii inayotekelezwa katika Halmashauri ya Busokelo. 

Mradi huo wa akinamama wa Kukamua mawese katika kata ya Kisegese, unajumuisha wanawake watano(5), upo katika hatua ya ufungaji mitambo una gharama ya milioni 25, ambazo zimetokana na mkopo unaotolewa na Halmashauri kwaajili ya kuwawezesha wanawake  kujikwamua kiuchumi unatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe 22/07/2027.

Aidha Mwenyekiti wa kamati ya (FUM) alipongeza kazi nzuri iliyofanywa na wanakikundi hao, akiwataka wakamilishe kwa haraka ufungaji wa mashine na uzalishaji uanze mara moja ili wanakikundi waanze kurejesha mkopo.Katika hatua nyingine Mhe.Njobero amewashauri wanakikundi hao kujenga stoo kwaajili ya kuhifadhi mafuta watakayo zalisha kiwandani hapo.  “niwapi mmetenga eneo la stoo kwaajili ya kuhifadhi bidhaa zenu, ni vema basi mradi ukikamilika mjenge stoo kwaajili ya kuhifadhi mafuta mtakayo zalisha,ni lazima kuwe na stoo” amesema Mhe. Njobero. 

Awali akisoma taarifa ya wanakikundi, Katibu wa mradi hou Bi.Rosa Kalesa,alisema mpaka sasa Kikundi kimefanikiwa kununua mshine mbili kwaajili ya kukamulia mawese zenye thamani ya shilingi million 13, million 12 zikitumika katika ujenzi wa jengo la mradi, gharama za ufundi na usafirishaji vifaa vya ujenzi.Naye Diwani wa kata ya Kisegese Mhe Losajo K.Brayan aliwapongeza wanakikundi hao kwa hatua waliyofikia katika utekelezaji mradi, huku akisisitiza kuwa anatamani kuona kazi hiyo ikikamilika haraka ili uzalishaji uanze katika eneo la mradi. 

Mradi wa kukamua mawese Kisegese ulitarajiwa kukamilika tarehe 17/07/2023, hivyo mafundi wanangojea kukauka kwa zege katika eneo ambalo mashine zinararajiwa kufungwa. Hivyo kamati ya (FUM) aliagiza hadi kufikia tarehe 22/07/2023 mradi uwe umekamilika na uzalishaji uanze.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.