• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI 7 ZA MKOA WA MBEYA ZAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI YA UMMA KWA NJIA YA MTANDAO NeST

Imewekwa tarehe: August 24th, 2023

HALMASHAURI 7 ZA MKOA WA MBEYA ZAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI YA UMMA KWA NJIA YA MTANDAO NeST.

  • Maafisa mbalimbali wa serikali kutoka Halmashauri saba za Mkoa wa Mbeya wanaendelea kupatiwa Mafunzo ya kujenga uelewa kuhusu matumizi ya Mfumo mpya wa Serikali wa Manunuzi ya Umma kwa njia ya Mtandao unao julikana kama NeST.

Mafunzo hayo ya siku tano yenye lengo la kuwajenga uwezo Maafisa wa Serikali Watumishi wa Umma juu ya namna bora ya kutumia Mfumo mpya wa serikali wa Manunuzi ya Umma kwa njia ya mtandao NeST yamehusisha Maafisa Manunuzi, Wakaguzi wa ndani,Wanasheria Maafisa TEHAMA, Maafisa Mipango na Maafisa Habari kutoka Halmashauri  ya Wilaya ya Busokelo, Chunya, Mbeya Mbalali, Kyela, Rungwe, Mbeya vijijini na Mbeya Jiji.

Mafunzo hayo yameanza jana tarehe 23/08/2023 katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, yanatarajiwa kukamilika ifika tarehe 27/08/2023.

Akizungumza katika Mafunzo hayo Mkufunzi wa matumizi ya Mfumo wa NeST, Afisa TEHAMA Mkoa wa Mbeya Bwana Frank Choka amewataka washiriki wote kufuatilia na kuzingatia mafunzo hayo kwa weledi ili wakawe Mabalozi wazuri katika maeneo yao ya kazi kwa kuwafundisha watumishi na watu wengine kuhusu namna bora ya kutumia Mfumo wa NeST katika manununzi ya Umma.

Serikali ya Tanzania ilitambulisha mfumo mpya wa manunuzi ya Umma kwa njia ya Mtandao NeST katika mwaka wa fedha 2023/2024, kutoka katika mfumo wa zamani  ujulikanao kama TANEPS.

Mfumo mpya wa Ununuzi NeST unatarajiwa kuanza rasmi katika Taasisi zote za Umma ifikapo Octoba Mosi 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.