• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

JAMII IJENGEWE UELEWA KUHUSU UMHIMU WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2024

Imewekwa tarehe: June 15th, 2024

JAMII IJENGEWE UELEWA KUHUSU UMHIMU WA  UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA  KURA 2024.


Mkurugenzi Mtendaji wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Bw.Ramadhan Kailima amewataka Maafisa Habari na Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha  jamii ya Watanzania inajengewa uelewa kuhusu umuhimu wa  Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura mwaka 2024.


Bw.Kailima emeeleza hayo leo 15/06/2024 katika  Mkutano  wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Maafisa Habari wa Mikoa na  Halmashauri uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City  Jijini Dares Salaam.

Bw.Kailima amesema kuwa Maafisa Habari Kwa kushurikiana na vyombo mbalimbali vya Habari vilivyopo katika Mikoa na Halmashauri  wanao wajibu  wa kuueleimisha Umma wa WaTanzania  kuhusu zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutoa taarifa sahihi na kupinga aina yoyote ya upotoshwaji unaofanywa na baadhi ya watu katika jamii.


Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura nchini linatarajiwa kuzinduliwa rasmi July 1/2024 Kitaifa Mkoani Kigoma.


Kwa kuzingatia matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi, Wapiga Kura wapya 5,586,433 wanatarajiwa kuandikishwa  ambao ni sawa na asilimia 18.7 ya Wapiga Kura  29,754,699 waliopo kwenye Daftari la  baada a Uboreshaji uliofanyika Mwaka 2019/2020.


Kwa upande wake  Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi.Giveness Aswile amesema kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi NEC, Kwa kuzingatia  mashariti  ya kifungu cha 9(1) na (2) cha sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na ya Mwaka 2024 pamoja na vifungu vingine  vinavyohusu uandikishaji  na Uboreshaji, zoezi hilo lina husisha mambo muhimu mambayo ni:

1.Kuandikisha Wapiga Kura wapya  amabo ni Raia wa Tanzania  wenye umri wa miaka 18 na zaidi na watakao timiza  umri huo  ifikapo tarehe ya Uchaguzi Mwaka 2024.


2.Kutoa fursa Kwa Wapiga Kura waliopo kwenye Daftari na ambao wamehama, ili waweze kuhamisha  taarifa zao kutoka  kata au Jimbo walilonandikiashwa awali.

3. Kutoa fursa Kwa Wapiga Kura walilonandikiashwa kurekebisha taarifa zao yakiwemo majina  na taarifa nyingine.

4. Kuotoa kadi mpya  Kwa Wapiga Kura Walipoteza kadi  au kurekebisha kadi zao zilizo haribika

5. Kuondoa taarifa ya  Wapiga Kura Walipoteza sifa za kuwepo kwenye Daftari la  kutokana na sababu mbalimbali  ikiwa ni pamoja na kuukana uraia wao wa Tanzania au kifo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.