• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Lazima tubadilike kiutendaji-Bendera

Imewekwa tarehe: November 16th, 2018

Katibu Tawala wa Wilayaya Rungwe, Bw. Nnkondo Bendera amewataka watumishi wa Wilaya ya Busokelo kubadilika kiutendaji kulingana na wakati.

Aliyaongea hayo jana kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Busokelo wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani wakati wa kujadili taarifa za robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2018/19.

“Sasa tumehama kutoka kwenye uongozi wa maneno….kwenda kwenye uongozi wa matokeo…. tunaita ‘Result based Management’ na kwamba kila mmoja lazima awe na KPI (Key Perfomance Indicators) kwenye utumishi wake” Alisema Bw. Bendera

Bw. Bendera aliongeza kuwa lazima kuwe na mipango na mipango hiyo itengenezewe shughuli za utekelezaji na pia zionyeshe kuwa zinakwenda kutatua tatizo fulani kwenye jamii.

“Hili nimeongea na Mhe. Mkuu wa Wilaya kwamba itafikia hatua tutakaa na Wataalamu wote wa Wilaya ya Rungwe na kuingia nao mkataba wa kiutendaji ili tujue tunapigaje hatua, kwamba Rungwe tulukuwa wapi na sasa tupo wapi”. Alisema Bw. Bendera

Aliongeza kuwa tunatakiwa tujifunze kutoka kwa wenzetu nchi ya Malaysia ambako tulichukuwa mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Result Now) ambapo wao kwa sasa mtu akijipima mwenyewe kuwa hatoshi hawezi kuchukua uongozi ili awaachie ambao wanaweza kuleta matokeo chanya kwa jamii.

Bw. Nnkondo Bendera alipata wasaa wa kuyasema haya kwenye Baraza la Madiwani Busokelo ikiwa ni sehemu ya taarifa kutoka Serikali Kuu pia ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha kwa Madiwani hao kwani ni Baraza lake la kwanza kuhudhuria tangu alipoteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.