• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA 2023 MKOANI MBEYA

Imewekwa tarehe: September 25th, 2023

MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA 2023 MKOANI MBEYA

Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo imeshiriki maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima kimkoa  yaliyofunguliwa rasmi leo 25 Septemba 2023 Wilayani Mbarali na kuhudhuriwa na Wakuu wa Idara mbalimbali, na wenyeviti wa Kamati za Huduma ya Jamii kutoka Halmashauri zote 7 za Mkoa wa Mbeya.

Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na Kauli mbiu isemayo " Kukuza uwezo wa Kusoma na kuandika kwa ulimwengu unaobadilika; Kujenga misingi ya Jamii endelevu na yenye amani" yamezinduliwa rasmi tarehe 25/09/2023 Katika Kiwanda cha Kuzalisha taulo za kike IPOSA kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali.

Katika Maadhimisho hayo, Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii Halmshauri ya Wilaya ya Busokelo ambaye ni Diwani wa Kata ya Ipagika Mhe.Mekara O.Mwang'ombola, alipongeza juhudi zilifanywa na Idara ya Elimu ya Watu wazima Halmshauri ya Mbarali kuwaweshea vijana wa kitanzania kupata mafunzo ya ufundi stadi kuhusu namna ya Utengenezaji taulo za kike katika kiwanda cha IPOSA kilichopo Mbarali kwani hii ni njia mojawapo ya kuwajengea ujuzi na maarifa vijana katika jamii ili waweze kuwa na uwezo wa kujiajiri wenywe na kujiingizia kipato.

Mhe.Mekara aliahidi kuwa, Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo pia itendelea kuwawezesha vijana kwa kuwajengea uwezo ktk mafunzo mbalimbalj ya Ujasiriamali ili waondokane na utegemezi kwa kujiingizia kipato kupitia fursa mbalimbali zitakazo patikana baada ya mafunzo wanayopatiwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo.

Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima nchini hufanyika kila Septemba ya kila mwaka tangu yalipoasisiwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) mwaka 1966 na kuanza kuadhimishwa rasmi mwaka 1967 chini ya Uongozi wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.