• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

Imewekwa tarehe: June 6th, 2025
  1. MAFANIKIO YA SEKTA YA KILIMO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.


Halmashauri inajitosheleza kwa chakula, ambapo mahitaji ya chakula kwa wakazi wote wa Busokelo ni tani 2,798 kwa mwezi na tani 33,576 kwa mwaka.


Aidha malengo ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa mwaka 2024/2025 ni tani 355,232.7 ambapo kwa kipindi Julai hadi Disemba 2024, tani 201,249.5 za chakula zimezalishwa na kusababisha ziada ya tani 153,983.2.


Sekta ya kilimo inaongoza kwa kutoa ajira kwa wakazi wengi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokeo na nje ya Halmashauri.


Halmasauri kupitia Divisheni ya Kilimo , Mifugo na Uvuvi inashirikia na wakulima kuwapatia ushauri wa kitaalamu, Wakulima wanaopata huduma za ugani wameongezeka kutoka Wakulima 18,956 mwaka 2020 na kufikia 54,952 Disemba, 2024.


Uwiano wa wakulima wanaotumia mbolea za viwandani umeongezeka 76% mwaka 2020 kufikia 96% kufikia Disemba, 2024.


Wastani wa uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara umeongezeka kuanzia mwezi Disemba,2024 uzalishaji wa mahindi umefikia tani  8,345.


Hadi kufikia mwezi Disemba,2024 uzalishaji wa Ndizi umefikia tani 80,421


Uzalishaji wa mpunga umeongezeka hadi kufikia tani 9113 kwa mwezi Disemba, 2024 kutoka tani 8,112 kwa  mwaka 2020


Uzalishaji wa viazi mviringo umeongezeka hadi kufikia tani 62470.5 mwaka Disemba, 2024 kutoka tani 32,544  mwaka 2020.


Uzalishaji wa magimbi umeongezeka hadi kufikia tani  40,90  mwezi Disemba, 2024 kutoka  tani 38,325 mwaka 2020.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.