• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

Imewekwa tarehe: March 21st, 2025

ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA  MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.


Benki Kuu ya Tanzania imewapatia Elimu Watumishi wa Umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo namna ya kutumia Mfumo wa kuwasilisha malalamiko kuhusu Taasisi za Kifedha.

Mafunzo hayo yamefanyika leo 21, Machi 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Busokelo.

Lengo la matumizi ya Mfumo huo ni kuwezesha kurahisisha utatuzi wa malalamiko ya watumiaji wa Taasisi za Kifedha ikiwemo Benki na Taasis ndogo za utoaji huduma za kifedha wasiyochukua  Amana Microphinance

Maafisa wa Benki kuu ya Tanzania BOT Kanda ya Mbeya , wamewataka Watumishi wote wa Umma na wateja wote wa Taasisi za Kifedha kuhakikisha  wanasoma kwa makini na kuielewa mikataba na masharti ya mikopo kabla kuchukua mikopo katika Taasisi hizo .

Taratibu za kushughulikia malalamiko

Kabla ya kuleta malalamiko Benki kuu, mteja atatakiwa kwanza kuwasilisha malalamiko ndani ya taasisi ya kifedha. Ili malalamiko yapokelewe, malalamiko hayo lazima yawe yamewasilishwa Benki Kuu ndani ya muda wa miaka miwili tangu kutokea kwa tukio la kusababisha malalamiko.

Taasisi ya kifedha inapaswa kutatua malalamiko ya mteja ndani ya siku 14 tangu tarehe ya kuleta malalamiko. Ikiwa haiwezi kutatua malalamiko ndani ya muda uliowekwa, itamjulisha mteja mara moja sababu za kushindwa kutatua ndani ya muda pamoja na hatua zinazochukuliwa kwa haraka kutatua malalamiko, na sio zaidi ya siku 7 baadaye.

Endapo mteja akionekana kutokubaliana na uamuzi wa taasisi ya kifedha au akishindwa kupata jibu kutoka taasisi ya kifedha ndani ya siku 14 tangu tarehe ya kuleta malalamiko, anaweza kuleta malalamiko yake Benki kuu ndani ya siku 14.

Aidha BOT imetoa wito kwa Taasisi zote zinazohusisha na biashara kukopesha fedha bila vibali kutoka Benki kuu zihakikishe zihakikishe zinafuata taratibu za kupatia leseni za biashara hiyo kutoka Benki kuu.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.