• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MFUMO WA NeST KATIKA MANUNUZI YA UMMA UTUMIKE KUPUNGUZA HOJA ZA CAG ILI KUAONGEZA UWAJIBIKAJI MKOANI MBEYA

Imewekwa tarehe: August 27th, 2023

MFUMO WA NeST KATIKA  MANUNUZI YA UMMA UTUMIKE  KUPUNGUZA  HOJA ZA CAG ILI KUAONGEZA UWAJIBIKAJI MKOANI MBEYA .

Watumishi wa Umma Mkoa wa Mbeya, wametakiwa kuutumia vizuri mfumo wa Manununzi ya Umma kwa njia ya Mtandao NeST ili kupunguza hoja CAG katika Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya.

Hayo yameelezwa leo tarehe 27/08/2023 na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Bwana Vincent Agustine Mbua wakati akifunga mafunzo ya siku tano(5)kuhusu Matumizi ya Mfumo wa Manunuzi ya Umma kwa njia ya Mtandao NeST yaliyo wakutanisha watumishi  wa  Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya.

Bwana Mbua  amewasitizia washiriki wa mafunzo  hayo kwenda kuwa chachu ya mabadiliko katika kitengo cha manunuzi katika Halmashauri zao  kwa kuwafundisha watumishi wengine namna kutumia mfumo wa NeST katika kufanya Manunuzi ili kuongeza ufanisi katika kufanya manunuzi na utangazaji  wa tenda kwa wazabuni. 

"Yatumieni vizuri mafunzo haya  miliyopata ili yakawe chachu ya mafanikio na  mabadiliko katika  kitengo cha Manunuzi  ya Umma kwenye maeneo yenu ya kazi" amesema Bwana Vincent Agustine Mbua 

Katika hautua nyingine Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya, baada ya mafunzo hayo ametaka Maafisa Masuuli katika Halmashauri zote za Mbeya  kuandaa Mpango wa Manunuzi   mwaka wa fedha 2023/2024 kupitia  Mfumo mpya wa Manunuzi ya Umma NeST hadi kufikia tarehe 05/09/2023.

Kwa upande wao washiriki wa Mafunzo hayo, Wameishukuru  Serikali  ya Awamu ya sita kwa kuanzisha Mfumo mpya wa Manunuzi ya Umma NeST  kwani  ni mfumo salama, wenye ufanisi  unaokoa muda katika kufanya manunuzi na kutangaza tenda na pia unganishwa na taarifa nyingne muhimu za NIDA na TRA   na mifumo yote ya kibiashara.

Mkaguzi wa ndani kutoka Halmashauri ya Busokelo CPA Kabile Mwita amepongeza ujio wa mfumo wa NeST kwani utasaidia Serikali kupunguza hoja za ukaguzi, na kuongeza uwazi na uwajibikaji katika kusimamia ununuzi wa umma.

Maafisa Manunuzi, Wakaguzi wa ndani, Maafisa TEHAMA, Wanasheria, Mafisa Mipango na Maafisa Habari  wa Halmshauri saba(7) za Mkoa wa Mbeya wameshiriki mafunzo ya siku5 kuhusu matumizi ya Mfumo wa Manunuzi ya Umma kwa njia Mtandao NeST yalianza tarehe 23/08/2023 hadi leo 27/08/2023 katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.