• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

OBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UTAHUSISHA UJUZI, WELEDI,UZALENDO NA USHIRIKIANO.

Imewekwa tarehe: December 16th, 2024

OBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UTAHUSISHA UJUZI, WELEDI,UZALENDO NA USHIRIKIANO.


Zoezi la Uboreshaji Daftari la kudumu la Wapiga Kura 2024 linahusisha ujuzi, Weledi, Uzalendo na ushirikiano baina ya Maaafisa Waandikishaji, Wadau wa Siasa  na Serikali ili kufanikisha zoezi hilo ufanisi.


Haya yamelezwa leo 16/12/2024 Mkoani Mbeya na Mwenyekiti wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.Jaji Jacobs C.M. Meambegele wakati afungua mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa  Waandikishaji ngazi  ya Jimbo katika Halmashauri za Mkoa wa Mbeya.


Mhe.Jaji Mwambegele amewataka Maafisa Waandikishaji ngazi ya Jimbo katika katika Mkoa wa pamoja na Maafisa TEHAMA kwenda kutumia ujuzi na maarifa watakayopatiwa kupitia mafunzo hayo, kwa weledi, Uzalendo, ushirikiano na kujituma ili kufanikisha zoezi la Uboreshaji Daftari la Kudumu la kupiga kura .


Katika hatua nyingine Mhe.Jaji Mwambegele amesema kuwa Mawakala wa vyama vya siasa  Wataruhusiwa  kuwepo katika vituo vya Uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga kura ili kuongeza uwazi na kuwezesha ushirikiano katika kufanikisha zoezi hilo kwani wao ndio wanao watambua Wapiga kura wao katika maeneo husikia 


Aidha Mawakala hawataruhusiwa kuingilia majukumu ya Maafisa Waandikishaji katika vituo badala yake watatakiwa kutimiza majukumu yako  ya Uwakala kulingana na miongozo na taribu zitakazo tolewa kupitia vya vyao vya siasa.


Zoezi la Uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga kura mwaka 2024 Mkoani Mbeya linatarajia kuanza 27/12/204 hadi tarehe 02/01/2024 


Kauli mbiu ya Uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga kura Mwaka 2024  "Kujiandika kwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi 

Bora"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.