• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YA AWAMU YA SITA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BARABARA KWA WANANCHI WA BUSOKELO

Imewekwa tarehe: October 1st, 2023

SERIKALI YA AWAMU YA SITA  KUTATUA CHANGAMOTO ZA BARABARA KWA WANANCHI WA BUSOKELO.

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh. Rais Dk.Samia Suluhu Hassan inatarajia  kukamilisha ujenzi wa barabara ya Katumba-Mbambo-Tukuyu (km 79.4), Katumba- Lupaso (km 35.3) na Mbaka - Kibanja (km 20.7) kwa kiwango cha lami ili kukuza uchumi wa wananchi wa Busokelo kupitia shuguli za usafirishaji mazao ya kilimo.


Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, Oktoba 1, 2023 katika kijiji cha Kandete, Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara.


Katika ziara yake, Mh. Bashungwa ameambatana na  Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, Bashungwa amebainisha kuwa  maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuwa Barabara hiyo ijengwe kiwango cha lami ili kuchagiza  maendeleo ya kiuchumi kwa jamii ya Busokelo na Mkoa wa Mbeya.


Waziri Bashungwa amebainisha kuwa tayari Serikali imeshatumia  kiasi cha fedha Bilioni 21.307 kwa kujenga kwa kiwango cha lami sehemu ya kwanza inayoanzia Bujesi - Mbambo (km 12.7),  na Sehemu ya pili inayoanzia Kibanja - Tukuyu (km 7) na mkandarasi kutoka kampuni ya kichina ya China Railway 15 Group kwa muda wa miezi 45.

Aidha, Mh. Bashungwa ameongeza kuwa Mhe. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa uzalishaji unaofanywa na wana Busokelo na Rungwe kwa ujumla,Mhe Dk. Samia ameelekeza kuwa barabara hiyo ikamilishwe kwa kiwango cha lami katika kipande cha Katumba- Lupaso (km 35.3) na kipande cha Mbaka - Kibanja (km 20.7)

"Mhe. Rais anafahamu barabara hii na ameridhia iwekwe lami na hivi karibuni tunakwemda kutia saini mkataba wa ujenzi na tutamwalika Mhe. Mbunge wa jimbo la Busokelo kuja kushuhudia mkoani Dodoma",amesema Waziri Bashungwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.