• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Serikali yatoa Sh. Milioni 500 kujenga kituo cha Afya Kata ya Mpata, Busokelo.

Imewekwa tarehe: January 19th, 2018

Serikali imetoa  fedha kiasi cha Sh. Milioni 500 kwa ajili ya kujenga kituo cha Afya cha Kata ya Mpata, Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Tangu mwishoni mwa mwaka jana Serikali imekuwa ikitoa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa vituo vya afya.

Katika awamu ya kwanza ya utoaji wa fedha hizi, Halmashauri za Wilaya ya Kyela na Rungwe zilinufaika na mpango huu katika Mkoa wa Mbeya. Katika awamu ya pili ya mpango huu umehusisha Halmashauri 161 katika nchi nzima ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo.

Pamoja na kutoa fedha hizo, Serikali imetoa muongozo wa matumizi ya fedha hizo ambapo  15% ya mradi itatekelezwa na jamii kama nguvu kazi na 85% itatekelezwa na Serikali.

Akiwasilisha mradi huo kwa Wananchi wa Kata ya Mpata, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, Bw. Eston Paul Ngilangwa alisema kuwa wanapaswa kujifunza kutoka kwa majirani zetu wa Kyela na Rungwe ambao katika awamu ya kwanza ya mradi huo wamefanya vizuri.

Alisisitiza kuwa mikakati ya utekelezaji wa mradi huu ni pamoja na kuunda kamati ya ujenzi ambayo itahusisha jamii ya Kata ya Mpata pamoja na timu ya Wataalam kutoka Halmashauri. Aidha mradi huu unatakiwa kukamilika ndani ya siku tisini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo akiwasilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Mpata

Baadhi ya Wataalam kutoka TAMISEMI na baadhi  ya Wataalam kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo wakijadili jambo katika eneo linalotarajiwa kujangwa Kituo cha Afya

Diwani wa Kata ya Mpata, Mhe. Mollo akifafanua jambo kwa Wataalam kutoka TAMISEMI na Halmashuri juu ya eneo linalotarajiwa kujengwa Kituo cha Afya.

Baadhi ya Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wakisikiliza kwa makini juu ya maelekezo ya ujenzi wa Kituo cha Afya katika kata ya Mpata

Timu ya wataalam kutoka Halmashuri wakiwa pamoja na wananchi katika mkutano wa hadhara kujadili na kuweka mikakati ya kutekeleza mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Mpata.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.