• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Shilingi bilioni 1.4 kuleta sura mpya ya Busokelo

Imewekwa tarehe: August 24th, 2018

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo umeingia makubalianao na Kampuni ya Ujenzi ya Mzinga kwa kusaini mkataba wa ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya Busokelo.

Makubaliano hayo yamefanyika jana katika ofisi za Halmashauri kwa kutia saini mkataba wenye thamani ya Shilingi bilioni 1.4 ikiwa ni awamu ya pili ya muendelezo wa ujenzi wa jengo hilo la ghorofa moja.

Akiongea wakati wa kutia saini makubaliano hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo Mhe. Anyosisye Njobelo alisema kuwa wanabusokelo wana matumaini makubwa sana makubaliano yanayofikiwa kwani wanategemea kuona sura mpya jengo hilo na watumishi wanatamani kutumia ofisi zilizopo katika majengo hayo.

Aliongeza kuwa tangu halmashauri ianzishwe watumishi wamekuwa wakipata tabu kwa kufanya kazi katika mazingira magumu kwa kukosa ofisi za kufanyia kazi na kubanana kwenye vyumba vichache vilivyopo hali inayoleta ugumu katika kutekeleza shughuli za utoaji huduma kwa wananchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa uendeshaji wa Kampuni ya Ujenzi ya Mzinga Mhandisi Karumuma, alisema kuwa wanafurahi kwa kuaminiwa na kupewa dhamana na Halmashauri ya Busokelo kwa kuwa wataweza kukata kiu ya Watumishi wa Busokelo kwa kutimiza matakwa ya mkataba huo na wanachohitaji kutoka kwao ni ushirikiano.

Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo ni miongoni mwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizoanzishwa hivi karibuni na moja kati ya changamoto zilizopo ni ukosefu wa jengo la Utawala ambapo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2012 wamekuwa wakitumia majengo ya taasisi zingine ikiwa ni pamoja na Ofisi ya Mbunge wa jimbo la Busokelo, jengo la tarafa na jengo la makumbusho ya Wanyakyusa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.