• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SUALA LA LISHE NI JUKUMU LA KILA MMOJA, WAZAZI NA WALEZI TUWAJIBIKE.

Imewekwa tarehe: October 31st, 2024

SUALA LA LISHE NI JUKUMU LA KILA MMOJA, WAZAZI NA WALEZI TUWAJIBIKE.


Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu leo 31/10/2024 amehitimisha Madhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa Katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo.


Akiwahutubia Wananchi wa Busokelo katika viwanja vya Lwangwa shule ya msingi, Mhe.Haniu ameeleza kuwa Suala la lishe ni jukumu la kila mmoja hivyo wazazi na walezi wahakikishe watoto wanakuwa na afya bora.


Aidha Mhe.Haniu ameagiza kuundwa kwa klabu za Lishe mashuleni huku akiwasisitiza wazazi wote kuhakikisha Wanachangia chakula cha watoto shuleni ili kuwawezesha watoto kufanya vizuri kitaaluma katika masomo yao.

Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo Bi.Mwanahawa Ntandu akisoma taarifa ya tathmini ya Lishe kwa kipindi cha Julai hadi Septemba 2024, amesema kuwa hali ya udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano ni 2.1%.,hali ya ukondefu ni 1.6%, uzito uliozidi ni  0.4%.

Pia Watoto walizaliwa na uzito pungufu ni2.39% na akina Mama waja wazito waliopatikana na upungufu wa damu ni 0.1%


Katika hatua nyingine,Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Haniu amewahimiza Wananchi wote kutimiza haki  yao ya Kikatiba kwenda kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa kuchagua Viongozi bora.


‘’Nichukue fursa hii kuwaomba, wale wote tuliojiandikisha katika daftari la wakazi katika uchaguzi wa serikali za mitaa, tumemaliza zoezi hili, nasasa tumebakiwa na zoezi la Uchaguzi, niwaombe wote waliyofikisha umri wa miaka 18 na kuendelea tushiriki  uchaguzi kwa kuchagua Viongozi wa Serikali za Mitaa itakapofika Novemba 27 ,2024’’alisema Mhe. Haniu.


Maadhimisho ya Siku ya Lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo yamepambwa na michezo mbalimbali ikiwemo, mpira ya miguu,ngoma za asili,buruadani za muziki,na mpira ya net ball.


Kauli mbiu ‘’ Mchongo ni Afya yako, Zingatia unachokula"




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.