• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wadau wa Afya Busokelo wakutana kujadili utekelezaji wa ubia na changamoto zake

Imewekwa tarehe: November 27th, 2018

Wadau wa afya wanaondesha ubia katika kutoa huduma za afya jana wamekutana katika mkutano wa robo ya kwanza kujadili utekelezaji na changamoto zinazokabili ubia huo.

Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo kwa kuhusisha wadau mbalimbali wanaoweka ubia na serikali katika huduma za afya ikiwa ni pamoja na taasisi za dini, mashirika yasio ya kiserikali na watu wenye ushawishi kwa jamii.

Katika mkuano huo akiwasilisha taarifa ya utekelezaji na utoaji wa huduma za afya, mratibu wa ubia ngazi ya Halmashauri Bibi. Laurencia Urio alisema kuwa utoaji wa huduma umeendelea kuimarika siku hadi siku kwa kuongeza idadi ya wataalamu katika vituo vya kutolea huduma.

“huduma zimeendelea kuimarika, kwa mfano katika mwaka 2012 tulikuwa na mganga 1 lakini hadi kufikia mwaka 2018 tuna waganga 8” alisema Bibi. Urio

Bibi. Urio aliongeza kuwa idadi ya wateja imeendelea kuongezeka ikiwa ni matokeo ya kuongezeka kwa idadi ya watu na pia kuimarika kwa huduma katika vituo na hivyo kuvutia watu wengi, wakati idadi ya wanawake wanaojifungua kwenye vituo vya kutolea huduma imeongezeka kutoka 2498 mwaka 2016 hadi kufikia wanawake 2713 mwaka 2018.

Wakichangia mjadala kwenye mkutano huo wadau hao walisema kuwa changamoto kubwa kwenye ubia huu ni uelewa mdogo wa wananchi juu ya ubia wa huduma za afya hivyo kufanya utekelezaji wa baadhi ya majukumu kuwa mgumu.

Mkataba wa utoaji huduma kati ya serikali (halmashauri ya wilaya ya Busokelo) na kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania dayosisi ya konde kwa mara ya kwanza ulianza mwaka 2012 ambapo halmashauri ya busokelo ilianzishwa. Katika mwaka huo Serikali iliweza kuingia mkataba na kanisa katika Hospital moja na zahanati 6.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.