• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WAMETAKIWA KUWA WABUNIFU KATIKA UFUNDISHAJI ILI KUONGEZA UELEWA KWA WANAFUNZI

Imewekwa tarehe: June 1st, 2024




WALIMU WAMETAKIWA KUWA WABUNIFU KATIKA UFUNDISHAJI ILI KUONGEZA UELEWA KWA WANAFUNZI.


Walimu wametakiwa kubuni njia mbadala za ufundishaji ili kuongeza uelewa kwa wanafunzi na kuwawezesha  Wanafunzi mashuleni kunya vizuri katika masomo kuanzia   ngazi ya Elimu ya Awali , Msingi na Sekondari.


Hayo yameelezwa leo 01/Juni/2024 na Mwl.Suzana Nussu Mkurugenzi msaidizi aneshughulikia masuala ya Elimu ya Awali na Msingi Ofis ya Rais TAMISEMI katika Kikako kazi cha kuhimiza ufundishaji kwa Walimu wa shule za Msingi na Sekondari kilichofanyika katika shule ya sekondari Lwangwa.


Mwl. Nussu amewaambia Walimu kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kuboresha mazingira rafiki ya kufundishia na ujifunzaji pamoja na utatuzi wa changamoto za watumishi wote wa umma ikiwemo Walimu.


‘’Nina salamu zenu kutoka kwa Mhe.Rais Dk.Samia, Mhe.Rais anawashukuru sana kwa kazi nzuri mnayoifanya, hivyo basi Walimu wenzangu ni lazima nina wahimiza tuendelee kufanya kazi kwa umahiri, uweledi na nidhamu ya hali ya juu, vilevile Walimu wa Busokelo naomba nitoe tu ushuhuda, hatuna kesi nyingi za kinidhamu kwa Walimu wa Busokelo, naomba niwapongeze kwa hilo” alisema Mwl.Nussu.


Aidha Mwl.Nussu amesisitiza kuwa msingi mzuri wa ufundisha huanzia katika madarasa ya awali na kuendelea hivyo ni vema Walimu watumie mbinu rafiki na bunifu mbalimbali zinazo endana na mwongozo wa ufundishaji ili watoto waweze kuelewa na kuyashika yale wanayofundishwa darasani .


‘’Walimu wenzangu wajengeeni uwezo mzuri watoto kuanzia madarasa ya Awali ili wawe na umahiri katika masomo yao kupitia kusoma, kuandika na kuhesabu, ikiwemo  matumizi ya lugha ya kiingereza’’


Katika hatua nyingine Mwl.Nussu amewataka Walimu wote kudumisha umoja na mshikikamano ili wawze kutumia majukumu yako kwa ushirikiano na hivyo kuleta matokeo chanya kitaaluma na kijamii.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. HOMERA AHIMIZA USHIRIKIANO WA WANANCHI NA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    June 11, 2025
  • KIDELI SASA BASI, CHANJO YA KUKU YA YAZINDULIWA RASMI BUSOKELO.

    June 09, 2025
  • MAFANIKIO SEKTA YA KILIMO HALMASHAURI YA BUSOKELO MWAKA 2024/2025.

    June 06, 2025
  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.