• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waratibu wa Elimu Kata Busokelo wakabidhiwa pikipiki

Imewekwa tarehe: October 3rd, 2018

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo jana, umekabidhi pikipiki 13 kwa Waratibu wa elimu kata za Busokelo.

Akikabidhi pikipiki hizo zilizotolewa na Serikali kupitia mradi wa LANES ambayo inafadhiliwa na umoja wa mataifa, Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Busokelo, Mhe. Uswege Mbamba, aliwaasa waratibu hao kuwa makaini na matumizi ya vyombo hivyo vya Serikali.

“kuletwa kwa pikipiki hizi katika Halmashauri ya Busokelo itakuwa ni chachu ya kuongeza kiwango cha taaluma na ufaulu wa darasa la nne, saba na kiadato cha 2, 4 na 6”. Alisema Mhe. Mbamba

Mhe. Mbamba aliongeza kuwa ufumbuzi wa vyombo vya usafiri kwa waratibu wa elimu kata ambao ndio wasimamizi wakuu wa  elimu ngazi ya kata limepata dawa ya kudumu kwani jiografia ya Busokelo kila mtu anaielewa changamoto yake.

Aidha Mhe. Mbamba alitoa rai kwa waratibu hao kufuata miongozo ya matumizi ya vyombo hivyo vya moto iliyotolewa na Waziri mwenye dhamana ya elimu ili pikipiki hizo ziweze kudumu kwa muda mrefu na matumizi yenye tija.

Akisoma taarifa mbele ya Mgeni rasmi, Afisa Elimu  Msingi wa Wilaya Bw. Atuvonwe Chaula alisema kuwa Halmashauri ya Busokelo ni miongoni mwa halmashauri nchini zilizopata pikipiki kwa ajili ya ufuatiliaji wa elimu ngazi ya Kata, ambapo alifafanua kuwa LANES ni kifupisho cha manaeno “Literature And Numerous Education Support” ambapo lengo kuu ni kuimarisha Stadi za Msingi za kusoma, kuandika na kuhesabu “KKK” kwa rika la kuanzia miaka 5 hadi 13 kwa watoto wasiokuwa na mfumo rasmi na walio katika mfumo rasmi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA. December 09, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA AJIRA YA MKATABA October 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA AJIRA April 11, 2023
  • TANGAZO LA UKODISHAJI MAGHALA YA KUHIFADHIA KOKOA June 05, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA CHINA ROADS AND BRIDGE CO-OPERATION YASAINI MKATABA WA KUWA MPANGAJI KATIKA MAKAMBI YA MBAMBO.

    May 29, 2025
  • ELIMU YAHATUA ZA KUWASILISHA MALALAMIKO KWA WATUMIAJI WA TAASISI ZA KIFEDHA.

    March 21, 2025
  • WANANCHI KATA YA LUFILYO WAFIKIWA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

    March 10, 2025
  • DC HANIU ATEMBELEA KALAKANA ZILIZOPO CHUO CHA VETA BUSOKELO

    March 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi atoa hamasa ya chakula kwa watoto mashuleni
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.