Imewekwa tarehe: March 8th, 2018
Maagizo hayo yametolewa na Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Mhe. Julius Chalya wakati wa uzinduzi wa jukwaa la uwezeshaji wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Uzinduzi wa jukwaa hilo ulienda sambamba ...
Imewekwa tarehe: February 27th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo imetoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na walemavu ili kukuza mitaji na kuinua uchumi na kipato kwa jamii. Fedha hizi ni utekelezaji wa maagizo ya serikali kw...
Imewekwa tarehe: January 26th, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Mhe. Julius Chalya ameagiza maeneo yote yenye vyanzo vya maji yatunzwe na kulindwa kwa kufanya shughuli na kupanda mazao yanayoendana na mazingira hayo.
Akiongea jana waka...