Imewekwa tarehe: November 27th, 2018
Wadau wa afya wanaondesha ubia katika kutoa huduma za afya jana wamekutana katika mkutano wa robo ya kwanza kujadili utekelezaji na changamoto zinazokabili ubia huo.
Mkutano huo umefanyika katika u...
Imewekwa tarehe: November 16th, 2018
Katibu Tawala wa Wilayaya Rungwe, Bw. Nnkondo Bendera amewataka watumishi wa Wilaya ya Busokelo kubadilika kiutendaji kulingana na wakati.
Aliyaongea hayo jana kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmasha...
Imewekwa tarehe: October 3rd, 2018
Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo jana, umekabidhi pikipiki 13 kwa Waratibu wa elimu kata za Busokelo.
Akikabidhi pikipiki hizo zilizotolewa na Serikali kupitia mradi wa LANES ambayo ina...